namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya
Takribani Miezi Miwili baada ya Mbeya FM Redio Kuripoti uwepo wa Chatu ndani ya Jiji la Mbeya Kukazuka Hofu na Sintofahamu kwa Wakazi wa Jiji.
Hali hiyo ikapelekea Kujitokeza kwa Vijana hawa wawili kutokea Bagamoyo na Tanga kwaajili ya kumkamata Chatu huyo.... Hatimaye wamemkamata Chatu Mtoto amekamatwa huku Juhudi zikiendelea Kuhakiki kama kuna Chatu wengineo....
Tazama Video Hii
Mtaalamu wa Kukamata Nyoka
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi09 Oct
NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.
Na kikubwa wanachofanya hali ikishakuwa hivi ni kusema mgomo haukuwa halali na hapo kupata nafasi ya ...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa.
Video ya Utanipenda mpaka sasa ina siku 19 toka iwekwe kwenye mtandao wa Youtube na imetazamwa zaidi ya mara 1,031,735,Diamond kwa sasa amekua tayari kutuonyesha vile vilivyokua vinatokea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Unaweza kuvitazama hapa pia mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa. appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avzhEoUjpCw-HS579DXn1G8f34OWQZ74OVPNhY*EifLAfoL5DqwYEnVSA3Kto*WjiCcOvCEJG6*nyttvLmrZNgY/AZAMFC2.jpg?width=650)
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
10 years ago
MichuziKAIMU KATIBU TAWALA MKOA WA MBEYA CONSTANTINE MUSHI AFUNGUA RASMI SEMINA YA MAAFISA MAZINGIRA JIJINI MBEYA LEO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OMPXF0YuhG8/Vco2YoYA3eI/AAAAAAAHwHQ/fhhyzauB16E/s72-c/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
MDAU WA MAZINGIRA ASIKITISHWA NA NAMNA USAFI UNAVYOFANYWA JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-OMPXF0YuhG8/Vco2YoYA3eI/AAAAAAAHwHQ/fhhyzauB16E/s640/unnamed%2B%252831%2529.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
SAKATA LA CHATU
‘Mzee wa Kanisa’ aibua siri mpya
Amkana chatu, adai ni njama za majirani Mke adai mumuwe ni msafi si mshirikina
SHAABAN MDOE NA LILIAN JOEL, ARUSHA
MFANYABIASHARA Joseph Magesa anayedaiwa kufuga nyoka aina ya Chatu nyumbani kwake, ameibua mapya kwa kudai kuwa hahusiki naye.
Pia, amedai kuwa hizo zinaweza kuwa njama za majirani zake, zilizolenga kumchafua na kwamba, suala hilo amemwachia Mungu kwani ndiye ajuaye ukweli.
Magesa, ambaye alikuwa akijitambulisha kuwa ni Mzee wa Kanisa Katoliki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lNx5el8syPvlbPqNbDkSWXDMVdzmv7Ze4AmYKLm0XK3W1ywG22g12t2vlTt9M3KGPIYLmuOA-aZ2EXdNOOZ486h/FRONTAMANI.jpg)
MWANAMKE DAR AJIFUNGUA CHATU!