NOTI ZETU ZIPO SALAMA, ZIMETENGENEZWA KWA NAMNA AMBAVYO ZINAZUIA VIMELEA KUSALIA KWENYE NOTI-BENKI KUU YA TANZANIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZwoVTDf9oxQ/Xlk5D1WVZ9I/AAAAAAALf84/85Gd7pMs_jYA3gciF-u3biWgaZ1I3uDQQCLcBGAsYHQ/s72-c/708f3f9e-d3f7-420c-a211-f160d3f9c29f%2B%25281%2529.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GumfFSVtqDQ/XnOANYVe-zI/AAAAAAACI5M/f9sDVHO6ERcwvTFusi-Qch4kAeXYomNegCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200319_165403_656.jpg)
10 years ago
Mwananchi13 Jun
Profesa Ndulu atetea noti za Tanzania
Dodoma. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu amesema karatasi zilizotumika kutengeneza noti za Tanzania zina ubora kwa kuwa wataalamu wamezithibitisha.
11 years ago
Habarileo04 Mar
Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia
POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.
11 years ago
Habarileo09 Feb
Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia
POLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Mchina kizimbani kwa kuchana noti ya Sh10,000
>Raia wa China ambaye ni meneja uzalishaji katika kampuni ya ujenzi Shen Hai,46, amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchana noti ya shilingi 10,000 ambayo ni mali ya Serikali ya Tanzania.
10 years ago
Bongo525 Feb
Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!
Rapper wa Kenya, Collo anaweza kuwa amepotea kwa kiasi kwenye mawimbi ya redio na TV licha ya kuwa na ngoma mpya za hapa na pale, lakini haimaanishi kuwa amepigika. Pengine anataka kudhihirisha hilo kwa mashabiki wake ndio maana ameamua kupost picha Instagram akiwa ameshika lundo la kutisha la noti za dola mia mia! “Sina ubaya […]
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s640/portland-press-herald_3258397.jpg)
10 years ago
MichuziPOLISI MKOANI DODOMA WAFAFANUA KUHUSU MABAURUNGUTU YA NOTI YALIYOKUTWA KWA MFANYABIASHARA
Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi akiwa na fedha nyingi na kuna vurugu kubwa. Baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilifika eneo la tukio ili kuona kama taarifa hizo ni za kweli. Askari...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania