Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NOTI ZETU ZIPO SALAMA, ZIMETENGENEZWA KWA NAMNA AMBAVYO ZINAZUIA VIMELEA KUSALIA KWENYE NOTI-BENKI KUU YA TANZANIA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Profesa Ndulu atetea noti za Tanzania

Dodoma. Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu amesema karatasi zilizotumika kutengeneza noti za Tanzania zina ubora kwa kuwa wataalamu wamezithibitisha.

 

11 years ago

Habarileo

Matatani kwa kukutwa na noti 13 bandia

POLISI mkoani Mbeya inawashikilia watu sita kwa tuhuma tofauti, ikiwemo kukutwa na mali ya wizi pamoja na noti bandia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, alisema Ahmed Msangi alisema watu hao walikamatwa katika maeneo mawili tofauti jijini hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi washikilia vijana wawili kwa noti bandia

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Ahmed MsangiPOLISI mkoani hapa inawashikilia vijana wawili kwa tuhuma za kukutwa na noti bandia zenye thamani ya Sh 285,000.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchina kizimbani kwa kuchana noti ya Sh10,000

>Raia wa China ambaye ni meneja uzalishaji katika kampuni ya ujenzi  Shen Hai,46, amepandishwa kizimbani kwa kosa la kuchana noti ya shilingi 10,000 ambayo ni mali ya Serikali ya Tanzania.

 

10 years ago

Bongo5

Niko sawa tu — asema Collo kwenye picha akiwa na noti za kutisha za dola mia mia!

Rapper wa Kenya, Collo anaweza kuwa amepotea kwa kiasi kwenye mawimbi ya redio na TV licha ya kuwa na ngoma mpya za hapa na pale, lakini haimaanishi kuwa amepigika. Pengine anataka kudhihirisha hilo kwa mashabiki wake ndio maana ameamua kupost picha Instagram akiwa ameshika lundo la kutisha la noti za dola mia mia! “Sina ubaya […]

 

9 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....

Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha.Ukweli ni kwamba mabunda hayo ya noti yalikamatwa huko jijini York, Portland, Marekani Mwezi Septemba mwaka 2010, na sio hapa Dar es salaam, Tanzania kama ambavyo wadau wengi wa mitandao hasa ya Whatsapp na Instagram wanavyovumisha.Tumelazimika kutoa habari hii ili kuokoa wadau...

 

10 years ago

Michuzi

POLISI MKOANI DODOMA WAFAFANUA KUHUSU MABAURUNGUTU YA NOTI YALIYOKUTWA KWA MFANYABIASHARA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa 

Dodoma, SACP David Misime


Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa 10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa wananchi walitoa taarifa majira ya saa nne asubuhi kwamba kuna mtu mmoja mwenye asili ya Kiasia amekamatwa na wananchi akiwa na fedha nyingi na kuna vurugu kubwa. Baada ya kupata taarifa hizo Jeshi la Polisi Mkoani hapa lilifika eneo la tukio ili kuona kama taarifa hizo ni za kweli. Askari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani