NEWS ALERT: TAARIFA SAHIHI YA TAARIFA YA MABUNDA YA NOTI KWENYE NDOO INAYOZAGAA MITANDANO HII HAPA....
![](http://3.bp.blogspot.com/-h7cmWLKY5no/VlrqPAPACeI/AAAAAAAIJAQ/1aiBBnCXSQo/s72-c/portland-press-herald_3258397.jpg)
Habari zilizosambaa mitandaoni kuhusiana na mabunda ya noti za dola ya Kimarekani kuwa zimekutwa nyumbani kwa mmoja wa watuhumiwa wa mtandao wa wizi bandarini na TRA sio za kweli, Globu ya Jamii inaweza kuthibitisha.Ukweli ni kwamba mabunda hayo ya noti yalikamatwa huko jijini York, Portland, Marekani Mwezi Septemba mwaka 2010, na sio hapa Dar es salaam, Tanzania kama ambavyo wadau wengi wa mitandao hasa ya Whatsapp na Instagram wanavyovumisha.Tumelazimika kutoa habari hii ili kuokoa wadau...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi20 Feb
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/nD54_i88gds/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y3xg_cHa0to/VFJNtVZCLNI/AAAAAAAGuQo/Mn7QXQDDVsE/s72-c/10747795_1505818026346063_802299687_n.jpg)
NEWS ALERT: UFAFANUZI WA TAARIFA ZISIZO ZA KWELI KUHUSU UTEUZI WA KONSELI WA HESHIMA JIMBO LA GUANDONG, CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y3xg_cHa0to/VFJNtVZCLNI/AAAAAAAGuQo/Mn7QXQDDVsE/s1600/10747795_1505818026346063_802299687_n.jpg)
Hivi karibuni kumezuka taarifa za upotoshwaji zilizotolewa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Serikali ya Tanzania imemteua Bw. Salaah, Mkurugenzi wa Home Shopping Centre, (pichani ) kuwa Konseli wa Heshima (Honorary Consul) kwenye mji wa Guangzhou kwenye Jimbo la Guandong.
Watoa taarifa hizo, hawakutoa ushahidi wowote kuthibitisha madai yao zaidi ya kutoa picha mbalimbali za Bw.Salaah kutoka kwenye mitandao mingine ya kijamii.
Taarifa hizo sio za kweli. Kwa mujibu wa Sheria na Kanuni za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i0FHeHtTQ2k/XkbrSuWbhVI/AAAAAAALdeM/ryQom5N-Tu0S3SNVQQLoLaEuer_l_HjfQCLcBGAsYHQ/s72-c/DODOMA%2BHEADEDPAPER.jpg)
NEWS ALERT: TAARIFA KUHUSU WANAFUNZI 420 WA KITANZANIA WALIOKO KATIKA MJI WA WUHAN NCHINI CHINA
![](https://1.bp.blogspot.com/-i0FHeHtTQ2k/XkbrSuWbhVI/AAAAAAALdeM/ryQom5N-Tu0S3SNVQQLoLaEuer_l_HjfQCLcBGAsYHQ/s640/DODOMA%2BHEADEDPAPER.jpg)
Dare Es Salaam, 14 Februari 2020
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuwaondoa hofu na taharuki Watanzania hususan wazazi, ndugu na jamaa wa wanafunzi takribani 420 walioko katika jimbo la Hubei, mji wa Wuhan Nchini China, ambapo ndio kitovu cha maambukizi ya virusi vya homa ya Corona (COVID-19) kuwa hadi sasa hakuna mwanafunzi au Mtanzania yeyote aliyebainika kuambukizwa virusi hivyo na kuwasihi kuendelea kuwa watulivu wakati serikali ikiendelea kufuatilia hali...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xfB_vX_10Ss/default.jpg)
news alert: Taarifa rasmi ya serikali juu ya ajali katika Msikiti wa Makkah - Saudi Arabia, Mahujaji wa Watanzania wote wako Salama.
Kufuatia mvua ilioambatana na upepo mkali na kusababisha kuanguka kwa mashine ya ujenzi wa upanuzi wa eneo la Tawaf ulipo msikiti wa Makkah, msikiti huo umeanguka na kusababisha vifo vya mahujaji.
Kwa mujibu wa Televisheni ya Saudi Arabia, Saudi TV hadi sasa watu 107 wamefariki dunia na wengine takriban 200 wamejeruhiwa.
Kufuatia ajali hiyo, Wizara ya Mambo ya Nje na...
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž