Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa.
Video ya Utanipenda mpaka sasa ina siku 19 toka iwekwe kwenye mtandao wa Youtube na imetazamwa zaidi ya mara 1,031,735,Diamond kwa sasa amekua tayari kutuonyesha vile vilivyokua vinatokea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Unaweza kuvitazama hapa pia mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa. appeared first on TZA_MillardAyo.
MillardAyo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video)
Unajua kwenye namba ya wakali wa comedy wenye majina makubwa kutokea East Africa, jina la Eric Omond nalo limo !! Eric huwa anarudia kwa kuimba style na maneno yake mwenyewe, na bado anarudia na video kwa mtindo wa pekeyake… Utanipenda ndio jina la ‘hit’ ya Diamond iliyokamata mawimbi sasahivi… basi cheki na hii aliyoirudia Eric Omondi […]
The post Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
Michuzi09 Oct
NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.
Na kikubwa wanachofanya hali ikishakuwa hivi ni kusema mgomo haukuwa halali na hapo kupata nafasi ya ...
11 years ago
Michuzi21 May
namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kCD1RyNrIhCbV3uyd_fgsPkiVRM8jGa9inJLLo7G8tUNhHWGxdE8PYq91ytIz1e6QZ7k-7evpSVk7gRnPG3eOh7U7JQP0t9JzJMVH0irjYkZZ3ZLGa53m_LF-PMEE-5vLhaLe3vopS0ewhWzMAmpmtE0Y8FEOxTC7e0-q_l_t1dXNDxw1hdkMaMBH021ShPoqsYs1Bq3uKm4_2ghrLweUvf_CHEthwAYE6R-OrKeMw6vPaGtVx7ZJGEEXNrcESw8Ky06UXoFroim-o8TbvHxKHeIpj461IApVGXc_flBVpHXd7Cg-w985-nb5m73D6ckzXoKp0IpQFO8yfdms6w4eph4ANljIEE=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-ig9XzgE-fNE%2FU3syU324WbI%2FAAAAAAAAFAE%2FkhwHQKAsLew%2Fs1600%2F20140520_104654.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
9 years ago
Bongo512 Dec
Picha: Baada ya ‘Utanipenda’ Diamond atishia amani kwa mtutu!
![diamond utanipenda](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/diamond-utanipenda-300x194.jpg)
Diamond Platnumz anazidi kudhihirisha kwamba hafanyi tu muziki bali anafanya biashara ya muziki.
Mpango mkakati, mbinu na silaha alizonazo ni nyenzo tosha zitakazomfanya aendelee kuwa na uhakika wa kubaki kileleni kwa kipindi kirefu.
Masaa machache baada ya kuachia wimbo/video mpya ‘Utanipenda’ ambayo imekuwa gumzo kubwa kutokana na kupokelewa vizuri, Diamond amepiga ‘mkwara mwingine’ kwa kupost screenshot ya video nyingine inayomuonesha akiwa juu ya gari na mrembo wakiwa na mavazi meupe...
5 years ago
BBCSwahili04 Apr
Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona
10 years ago
Bongo531 Jul
Usichokifahamu kuhusiana na jinsi video ya ‘Imebaki Story’ ya Hemedy PHD ilivyotengenezwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pdQ6kY_33W4/XnMxUXt7CGI/AAAAAAALkZ8/8TuBqBbszRAifZi-IWmVraN73LYba9BUwCLcBGAsYHQ/s72-c/TAARIFA%2BKWA%2BUMMA.jpg)
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kichupa cha ‘Utanipenda’ cha Diamond nyuma ya pazia
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa kasimama mbele ya magari aliyoyatumia katika video yake mpya ya Utanipenda.
Staa wa Bongo, Jacqueline Wolper, akiongea jambo na Diamond.
Gari ya Wolper katika video hiyo ikimmwagia maji Diamond.
Diamond akiangalia vipande vya video hivyo kabla ya kuendelea kushuti.
Diamond akiangalia Magazeti Pendwa baada ya kupata matatizo, nayo hayakuwa nyuma kuandika.
Diamond akipiga kinanda huku akimuimbia mpenzi wake Zari.
Mama yake Diamond, Sanura...
9 years ago
Bongo531 Dec
Wema Sepetu amdiss Diamond kwa namna isiyo rahisi kuijua!
![10570140_331847836939369_2031665733_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10570140_331847836939369_2031665733_n-300x194.jpg)
Si unajua kuna lile sakata la jina Simba ambalo Diamond amekuwa akilitumia na Mr Blue hivi karibuni kudai alilianzisha yeye?
Na sasa issue hiyo inaenda mbali zaidi. Wema ametumia Instagram kuingia pia kwenye issue hiyo katika njia ambayo inaishia kuwa dongo kwa ex wake.
“Watu walikuwa wanasubiria na mimi nitaje jina langu la mnyama… Mi ni Mnyama Ndio na Jina Langu ni WEMA SEPETU…. Gnyt Y’all…. Langu mwenyewe hilo…. Ila Balozi Kasema…. hihihihihi,” aliandika Wema.
Bila shaka bado hujaiona...