Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa.

Video ya Utanipenda mpaka sasa  ina siku 19 toka iwekwe kwenye mtandao wa Youtube na imetazamwa zaidi ya mara 1,031,735,Diamond kwa sasa amekua tayari kutuonyesha vile vilivyokua vinatokea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Unaweza kuvitazama hapa pia mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]

The post Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa. appeared first on TZA_MillardAyo.

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video)

Unajua kwenye namba ya wakali wa comedy wenye majina makubwa kutokea East Africa, jina la Eric Omond nalo limo !! Eric huwa anarudia kwa kuimba style na maneno yake mwenyewe, na bado anarudia na video kwa mtindo wa pekeyake… Utanipenda ndio jina la ‘hit’ ya Diamond iliyokamata mawimbi sasahivi… basi cheki na hii aliyoirudia Eric Omondi […]

The post Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video) appeared first on...

 

9 years ago

Michuzi

NAMNA AMBAVYO WAFANYAKAZI MNAWEZA KUGOMA KISHERIA.

   bashiryakub.blogspot.comNa  Bashir  Yakub.

MARA  kadhaa  migomo  ya wafanyakazi imekuwa  ikizaa athari  mbaya kwao. Hii  ni  kutokana  na  kugoma  bila  kufuata  taratibu. Waajiri  wao  ni  wajanja. Huwa  makini  sana linapoibuka  wazo  la  kugoma  na  huwa  tayari  muda  woote  kufuatilia  nyendo  ili  panapo  kosa  kidogo  watumie  mwanya  huo  kuwadhibiti   wagomaji.  
Na  kikubwa  wanachofanya hali  ikishakuwa  hivi  ni   kusema  mgomo  haukuwa  halali  na  hapo  kupata  nafasi  ya ...

 

11 years ago

Michuzi

namna ambavyo Chatu aliweza kukamatwa jijini Mbeya

 Takribani Miezi Miwili baada ya Mbeya FM Redio Kuripoti uwepo wa Chatu ndani ya Jiji la Mbeya Kukazuka Hofu na Sintofahamu kwa Wakazi wa Jiji. Hali hiyo ikapelekea Kujitokeza kwa Vijana hawa wawili kutokea Bagamoyo na Tanga kwaajili ya kumkamata Chatu huyo.... Hatimaye wamemkamata Chatu Mtoto amekamatwa huku Juhudi zikiendelea Kuhakiki kama kuna Chatu wengineo....  Tazama Video Hii Mtaalamu wa Kukamata Nyoka

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Baada ya ‘Utanipenda’ Diamond atishia amani kwa mtutu!

diamond utanipenda

Diamond Platnumz anazidi kudhihirisha kwamba hafanyi tu muziki bali anafanya biashara ya muziki.
Mpango mkakati, mbinu na silaha alizonazo ni nyenzo tosha zitakazomfanya aendelee kuwa na uhakika wa kubaki kileleni kwa kipindi kirefu.

diamond utanipenda

Masaa machache baada ya kuachia wimbo/video mpya ‘Utanipenda’ ambayo imekuwa gumzo kubwa kutokana na kupokelewa vizuri, Diamond amepiga ‘mkwara mwingine’ kwa kupost screenshot ya video nyingine inayomuonesha akiwa juu ya gari na mrembo wakiwa na mavazi meupe...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Namna ambavyo vijana wanaweza kujizuia na hofu ya corona

Mlipuko wa maambukizi ya corona umewafanya watu kujihisi uoga na wasiwasi.

 

10 years ago

Bongo5

Usichokifahamu kuhusiana na jinsi video ya ‘Imebaki Story’ ya Hemedy PHD ilivyotengenezwa

Umeitazama video ya wimbo mpya wa Hemedy PHD? Wimbo wake ‘Imebaki Story’ ni nzuri sana na kinachofurahisha zaidi imefanywa na waongozaji wa video wa Tanzania. Video hii imefanywa na kampuni ya Kwetu Studios na kuhaririwa na muongozaji mkongwe wa video, Adam Juma. Ukitaka kuuonesha uzuri wa Tanzania kwa mataifa ya nje, sidhani kama maghorofa au […]

 

9 years ago

Global Publishers

Kichupa cha ‘Utanipenda’ cha Diamond nyuma ya pazia

Diamond platinumz (4)Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa  kasimama mbele ya magari aliyoyatumia katika video yake mpya ya Utanipenda.

Diamond platinumz (10)Staa wa Bongo, Jacqueline Wolper, akiongea jambo na Diamond.

Diamond platinumz (7)Gari ya Wolper katika video hiyo  ikimmwagia maji Diamond.

Diamond platinumz (5)

Diamond akiangalia vipande vya video hivyo kabla ya kuendelea kushuti.

Diamond platinumz (8)Diamond akiangalia Magazeti Pendwa baada ya kupata matatizo,  nayo hayakuwa nyuma kuandika.

Diamond platinumz (1)Diamond akipiga kinanda huku akimuimbia mpenzi wake Zari.

Diamond platinumz (12)Mama yake Diamond, Sanura...

 

9 years ago

Bongo5

Wema Sepetu amdiss Diamond kwa namna isiyo rahisi kuijua!

10570140_331847836939369_2031665733_n

Si unajua kuna lile sakata la jina Simba ambalo Diamond amekuwa akilitumia na Mr Blue hivi karibuni kudai alilianzisha yeye?

10570140_331847836939369_2031665733_n

Na sasa issue hiyo inaenda mbali zaidi. Wema ametumia Instagram kuingia pia kwenye issue hiyo katika njia ambayo inaishia kuwa dongo kwa ex wake.

“Watu walikuwa wanasubiria na mimi nitaje jina langu la mnyama… Mi ni Mnyama Ndio na Jina Langu ni WEMA SEPETU…. Gnyt Y’all…. Langu mwenyewe hilo…. Ila Balozi Kasema…. hihihihihi,” aliandika Wema.

Bila shaka bado hujaiona...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani