Picha: Baada ya ‘Utanipenda’ Diamond atishia amani kwa mtutu!
Diamond Platnumz anazidi kudhihirisha kwamba hafanyi tu muziki bali anafanya biashara ya muziki.
Mpango mkakati, mbinu na silaha alizonazo ni nyenzo tosha zitakazomfanya aendelee kuwa na uhakika wa kubaki kileleni kwa kipindi kirefu.
Masaa machache baada ya kuachia wimbo/video mpya ‘Utanipenda’ ambayo imekuwa gumzo kubwa kutokana na kupokelewa vizuri, Diamond amepiga ‘mkwara mwingine’ kwa kupost screenshot ya video nyingine inayomuonesha akiwa juu ya gari na mrembo wakiwa na mavazi meupe...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa.
Video ya Utanipenda mpaka sasa ina siku 19 toka iwekwe kwenye mtandao wa Youtube na imetazamwa zaidi ya mara 1,031,735,Diamond kwa sasa amekua tayari kutuonyesha vile vilivyokua vinatokea nyuma ya pazia (Behind the Scene). Unaweza kuvitazama hapa pia mtu wangu. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO […]
The post Namna ambavyo video ya ‘Utanipenda’ ya Diamond ilivyotengenezwa. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video)
Unajua kwenye namba ya wakali wa comedy wenye majina makubwa kutokea East Africa, jina la Eric Omond nalo limo !! Eric huwa anarudia kwa kuimba style na maneno yake mwenyewe, na bado anarudia na video kwa mtindo wa pekeyake… Utanipenda ndio jina la ‘hit’ ya Diamond iliyokamata mawimbi sasahivi… basi cheki na hii aliyoirudia Eric Omondi […]
The post Sekunde 30 za kuenjoy na Eric Omondi alivyojiimbia ‘Utanipenda’ ya Diamond.. (+Video) appeared first on...
9 years ago
Bongo501 Oct
Picha: Huyu ndio msanii wa Kenya aliyemshirikisha Diamond baada ya Victoria Kimani
10 years ago
CloudsFM03 Dec
Picha: Diamond akizungumza na waandishi wa habari jana Escape One baada ya kutua nchini
Mshindi wa tuzo tatu za Channel O,staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akizungumza na waandishi wa habari jana,Escape One,Mikocheni,jijini Dar baada ya kutua kutoka nchini Afrika Kusini.
Mmoja wa mameneja wa Diamond,Mkubwa Fella akizungumza na waandishi wa habari na mashabiki waliofika kumpokea Diamond akitokea nchini Afrika Kusini kwenye tuzo za Channel O.
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Kichupa cha ‘Utanipenda’ cha Diamond nyuma ya pazia
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akiwa kasimama mbele ya magari aliyoyatumia katika video yake mpya ya Utanipenda.
Staa wa Bongo, Jacqueline Wolper, akiongea jambo na Diamond.
Gari ya Wolper katika video hiyo ikimmwagia maji Diamond.
Diamond akiangalia vipande vya video hivyo kabla ya kuendelea kushuti.
Diamond akiangalia Magazeti Pendwa baada ya kupata matatizo, nayo hayakuwa nyuma kuandika.
Diamond akipiga kinanda huku akimuimbia mpenzi wake Zari.
Mama yake Diamond, Sanura...
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Idi Amin Dada mtoto wa ‘sangoma’ aliyeitawala Uganda kwa mtutu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pNBdVlin5Lw/VbHEumWFvGI/AAAAAAAHrYs/5dS9hlmWL6c/s72-c/unnamed.jpg)
BAADA YA UCHAGUZI WA AMANI, BURUNDI BAN KI MOON ATAKA KUTEJEA KWA MAZUNGUMZO
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon, amezitaka pande zinazopingana nchini Burundi kubaki watulivu na kurejea mara moja katika meza ya majadiliano jumuishi ya kisiasa ili kumaliza tofauti zao na kujadili changamoto zinazolikabili taifa lao.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Katibu Mkuu, Julai 23, Ban Ki Moon ametambua hali ya Amani na utulivu iliyotawala wakati wa uchaguzi wa Rais wa nchi hiyo ( Burundi )uliofanyika Julai 21...
9 years ago
Mwananchi23 Oct
Tupige kura, tupokee matokeo kwa amani na utulivu, kuna maisha baada ya uchaguzi
10 years ago
Bongo531 Jan
Picha: Zari ndani ya Dar, athibitisha kwa mara ya kwanza kwa kauli yake kuwa mpenzi wa Diamond