Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Picha: Diamond akizungumza na waandishi wa habari jana Escape One baada ya kutua nchini

Mshindi wa tuzo tatu za Channel O,staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz akizungumza na waandishi wa habari jana,Escape One,Mikocheni,jijini Dar baada ya kutua kutoka nchini Afrika Kusini.Mmoja wa mameneja wa Diamond,Mkubwa Fella akizungumza na waandishi wa habari na mashabiki waliofika kumpokea Diamond akitokea nchini Afrika Kusini kwenye tuzo za Channel O.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

JK AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTUA LEO AKITOKEA MAREKANI KWENYE MATIBABU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Prof. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam hivi sasa,mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Marekani kwenye Matibabu.

 

10 years ago

Michuzi

Breaking nyuzzzz: JK AKIONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA BAADA YA KUTUA LEO AKITOKEA MAREKANI KWENYE MATIBABU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Prof. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akiongea na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa J.K. Nyerere jijini Dar es Salaam hivi sasa,mara baada ya kuwasili nchini akitokea nchini Marekani kwenye Matibabu.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AONGEA NA WAANDISHI WA HABARI MARA TU BAADA YA KUTUA TOKA MAREKANI, ASEMA ALIFANYIWA UPASUAJI WA SARATANI YA TEZI DUME


Rais Jakaya Kikwete akiongea na Waandishi wa habari uwanja wa ndege leo Jumamosi Novemba 29, 2014 mara tu baada ya kutua toka Marekani alipokuwa amekwenda kwa ajili ya upasuaji wa saratani ya tezi dume. (picha kwa hisani ya Michuzi)

Rais Jakaya Kikwete akiongea na Wanahabari na kuwataarifu kwamba alichofanyia ni upasuaji  wa saratani ya tezi dume  na hili alilijua mapema kabla ya kuja nchini Marekani na lilikua si jambo rahisi kulielezea lakini nilikua sina budi kumweleza mke wangu wananagu...

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

CloudsFM

IDRISS AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO KILIMANJARO HOTEL KEMPINSKI

Mshindi wa shindano la Big Brother Afrika,Idriss Sultan akizungumza na waandishi wa habari leo kuhusu ushindi alioupata kwenye shindano hilo wikiend iliyopita nchini Afrika Kusini.

 

9 years ago

Vijimambo

GWAJIMA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Askofu wa kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima akizungumza na waandishi wa Habari leo.


Na Emmanuel Mtengwa
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amejitokeza leo na kujibu tuhuma zilizotolewa dhidi yake na aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa wiki moja iliyopita.Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam, Askofu Gwajima amekanusha tuhuma za kuwa alimwambia Dk Slaa kuwa wapo maaskofu ambao walihongwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani