TUCTA: Tazara lipeni wafanyakazi
RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Gratian Mukoba ameitaka Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kuwalipa wafanyakazi wake malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano ndani ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
JK kuhutubia wafanyakazi, Tucta yalilia mishahara
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
TUCTA yalia mishahara duni kwa wafanyakazi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limebaini kuwa wafanyakazi wengi nchini bado wanakabiliwa na maisha magumu kutokana na malipo duni ya ujira. Pia limesema kutozingatiwa kwa sheria za kazi,...
11 years ago
Habarileo14 May
Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2O2qiS8lFY7QE0bBqZJ6mHiP0K5X2skD89iJsqVlbXmtn5QF02qSiZqfm82s7OV8mW*af-TpYy8LNTxsHTOC6DD/IKULU.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE, TUCTA WAJADILI JINSI YA KUBORESHA MASLAHI NA USTAWI WA WAFANYAKAZI
11 years ago
Dewji Blog20 Apr
Rais Kikwete, TUCTA wajadili jinsi ya kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Aagiza kukamilishwa kwa uundwaji wa mabaraza ya wafanyakazi katika utumishi wa umma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Aprili 17, 2014, alifanya mazungumzo na majadiliano ya kina na viongozi wa vyama vyote vya wafanyakazi nchini yenye nia ya kutafuta njia za kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi nchini.
Mazungumzo hayo ya muda mrefu yaliyofanyika Ikulu, Dar...
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Wafanyakazi Tazara Mbeya kugoma
ZAIDI ya wafanyakzi 1,000 wa Shirika la Reli Tanzania na Zambia (Tazara), mkoani hapa wametishia kugoma kuendelea na kazi iwapo serikali haitawalipa malimbikizo ya mishahara yao ya miezi mitano. Wakizungumza...
11 years ago
Habarileo27 May
Wafanyakazi Tazara waburuzwa kortini
MAMLAKA ya Reli la Tanzania na Zambia (Tazara) imewashitaki Mahakama Kuu wafanyakazi wake waliokuwa wamegoma, wakishinikiza kulipwa fedha zao za mishahara.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wafanyakazi Tazara warejea kazini
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), jana walirudi kazini baada ya mgomo wa takribani wiki mbili. Hatua hiyo imekuja baada ya uongozi wa Tazara kuwafungulia kesi...