TUCTA yalia mishahara duni kwa wafanyakazi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limebaini kuwa wafanyakazi wengi nchini bado wanakabiliwa na maisha magumu kutokana na malipo duni ya ujira. Pia limesema kutozingatiwa kwa sheria za kazi,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
JK kuhutubia wafanyakazi, Tucta yalilia mishahara
10 years ago
Mtanzania02 May
TUCTA yadai nyongeza ya mishahara
Na John Maduhu, Mwanza
SHIRIKISHO la Vyama Vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), limeitaka Serikali kuhakikisha inaongeza kima cha chini cha mshahara ili kuwawezesha wafanyakazi kujikimu kimaisha.
Kauli hiyo imetolewa na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Nicolaus Mgaya, wakati akisoma risala ya wafanyakazi mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati wa maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani, iliyofanyika kitaifa katika uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.
Mgaya alisema...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s72-c/SSRA%2Blogo.png)
SSRA YATOA ELIMU KWA VIONGOZI WA VYAMA VYA WAFANYAKAZI (TUCTA) MKOANI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-x5qgU_cv884/Vg11PhWrtfI/AAAAAAABePM/OohkazCSfJY/s640/SSRA%2Blogo.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jNPWGXKyPEU/Vg11NMaDOmI/AAAAAAABePE/IfFgrE_kc-g/s640/Ansgar%2BMushi.png)
Na Mwandishi wetu, DodomaWANACHAMA wa mifuko ya Hifadhi ya Jamii wametakiwa kufuatilia makato yao kwa kuwa baadhi ya waajiri wanachelewa kupeleka makato yao.
Mbali na hilo, waajiri wa metakiwa kutowalazimisha wafanyakazi wao, kujiunga na mfuko wasio upenda badala yake wapewe nafasi ya kujieleza.
Kauli hiyo, ilitolewa jana na Ofisa Tehama wa Mamlaka ya Usimamizi na...
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Nida yalia ukata, uchache wa wafanyakazi
10 years ago
Tanzania Daima02 Sep
TUCTA: Tazara lipeni wafanyakazi
RAIS wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), Gratian Mukoba ameitaka Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) kuwalipa wafanyakazi wake malimbikizo ya mishahara ya miezi mitano ndani ya...
11 years ago
Habarileo28 May
Wafanyakazi TAZARA kukatwa mishahara
MGOMO wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia umesababisha hasara ya Sh bilioni 2.65 ambazo sasa Serikali imesema wafanyakazi watakatwa kwenye mishahara yao kufidia. Wafanyakazi hao ambao jana wametangaza kusitisha mgomo huo baada ya Mahakama kuuba- tilisha juzi, imeelezwa kwamba mishahara yao itakatwa kwa utaratibu utakaowekwa na Menejimenti.
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwekezaji adaiwa kutolipa mishahara ya wafanyakazi
11 years ago
Dewji Blog20 Apr
Rais Kikwete, TUCTA wajadili jinsi ya kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
-Aagiza kukamilishwa kwa uundwaji wa mabaraza ya wafanyakazi katika utumishi wa umma
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Alhamisi, Aprili 17, 2014, alifanya mazungumzo na majadiliano ya kina na viongozi wa vyama vyote vya wafanyakazi nchini yenye nia ya kutafuta njia za kuboresha maslahi na ustawi wa wafanyakazi nchini.
Mazungumzo hayo ya muda mrefu yaliyofanyika Ikulu, Dar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2O2qiS8lFY7QE0bBqZJ6mHiP0K5X2skD89iJsqVlbXmtn5QF02qSiZqfm82s7OV8mW*af-TpYy8LNTxsHTOC6DD/IKULU.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE, TUCTA WAJADILI JINSI YA KUBORESHA MASLAHI NA USTAWI WA WAFANYAKAZI