Wafanyakazi TAZARA kukatwa mishahara
MGOMO wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia umesababisha hasara ya Sh bilioni 2.65 ambazo sasa Serikali imesema wafanyakazi watakatwa kwenye mishahara yao kufidia. Wafanyakazi hao ambao jana wametangaza kusitisha mgomo huo baada ya Mahakama kuuba- tilisha juzi, imeelezwa kwamba mishahara yao itakatwa kwa utaratibu utakaowekwa na Menejimenti.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili13 Jan
Wabunge Burkina Faso kukatwa mishahara
5 years ago
BBCSwahili27 Mar
Je, Wabunge wa Kenya watakubali kukatwa mishahara yao?
10 years ago
Habarileo22 Jan
TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.
11 years ago
Mwananchi13 May
Tazara wagoma, wadai mishahara tangu Feb.
11 years ago
Mwananchi01 May
JK kuhutubia wafanyakazi, Tucta yalilia mishahara
10 years ago
Mwananchi16 Apr
Mwekezaji adaiwa kutolipa mishahara ya wafanyakazi
11 years ago
Habarileo14 May
Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
TUCTA yalia mishahara duni kwa wafanyakazi
SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limebaini kuwa wafanyakazi wengi nchini bado wanakabiliwa na maisha magumu kutokana na malipo duni ya ujira. Pia limesema kutozingatiwa kwa sheria za kazi,...