Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima14 May
Tazara wagoma tena
WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wameanza mgomo tena wa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu. Kutokana na mgomo huo ulioanza jana, huduma za safari...
11 years ago
Mwananchi13 May
Tazara wagoma, wadai mishahara tangu Feb.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wafanyakazi Shoprite wagoma
ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bDoFS8A-qAvljAXmE9202WXKpQpeJW9dakFZpkrv-Fw*ehAvaiPICbMIG1F5qSZh3f5952QYl0SxG7hQuKLLbg/BREAKINGNEWS.gif)
WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:
10 years ago
Habarileo11 Jan
Wafanyakazi Tazara kugoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WAFANYAKAZI WA HOTELI YA SHARON WAGOMA
10 years ago
Habarileo08 Oct
Wafanyakazi Hospitali ya Regency wagoma
BAADHI ya wafanyakazi wa vitengo mbalimbali katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam jana waligoma kufanya kazi wakilalamikia kutopandishwa mishahara kwa muda mrefu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s72-c/866.jpg)
WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s640/866.jpg)
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...
9 years ago
StarTV04 Nov
Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia wagoma
Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia iliyopo Kibaha Mkoani Pwani wamegoma kuingia kazini kwa zaidi ya saa 7 kwa madai ya kutopatiwa mikataba ya kazi, kunyanyaswa na muwekezaji, mishahara midogo tofauti na kazi wanazofanya na kukosekana kwa huduma ya choo hali inayohatarisha afya zao kutokana na kujisaidia porini. Hali hiyo imesababisha uongozi wa mkoa wa Pwani kufika katika kampuni hiyo na kukutana na viongozi wa wafanyakazi na muwekezaji wa mradi huo na baada ya mazungumzo viongozi wa kampuni...