Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi TAZARA wagoma

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tazara wagoma tena

WAFANYAKAZI wa Shirika la Reli la Tanzania na Zambia (Tazara), wameanza mgomo tena wa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu. Kutokana na mgomo huo ulioanza jana, huduma za safari...

 

11 years ago

Mwananchi

Tazara wagoma, wadai mishahara tangu Feb.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), wamegoma kufanya kazi hadi Serikari itakapowalipa mishahara ya miezi mitatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Shoprite wagoma

ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Tazara kugoma

Dk Harison MwakyembeWAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara) kupitia Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzania (Trawu) wameazimia kuanza mgomo leo wakidai Serikali Sh bilioni 12.5 huku wakisitisha huduma za usafiri wa treni zote za mamlaka hiyo.

 

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI WA HOTELI YA SHARON WAGOMA

Wafanyakazi wa Hoteli ya Sharon iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam wagoma kuendelea na majukumu yao ya kila siku huku kisa kikielezwa kuwa ni kutolipwa mshahara wao wa mwezi Aprili. Habari kutoka eneo la tukio zinasema, mgomo huo umefanyika ikiwa ni baada ya wafanyakazi hao kujiunga na chama cha wafanyakazi kiitwacho Chadau  jambo linalopingwa na uongozi wa hoteli hiyo. ...

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Hospitali ya Regency wagoma

BAADHI ya wafanyakazi wa vitengo mbalimbali katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam jana waligoma kufanya kazi wakilalamikia kutopandishwa mishahara kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Vijimambo

WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA

Wafanyakazi wa Kampuni ya China Major Bridge Engineering Co. ltd wamegoma kuendelea na ujenzi wa daraja la Kigamboni, wakiushinikiza uongozi kuwalipa madai yao. Miongoni mwa mambo wanayodai ni malipo ya mshahara wa kima cha chini cha Sh. 325,000 kilichotangazwa na serikali pamoja na kuwapatia mikabata ya kazi.

Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia wagoma

Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia iliyopo Kibaha Mkoani Pwani wamegoma kuingia kazini kwa zaidi ya saa 7 kwa madai ya kutopatiwa mikataba ya kazi, kunyanyaswa na muwekezaji, mishahara midogo tofauti na kazi wanazofanya na kukosekana kwa huduma ya choo hali inayohatarisha afya zao kutokana na kujisaidia porini. Hali hiyo imesababisha uongozi wa mkoa wa Pwani kufika katika kampuni hiyo na kukutana na viongozi wa wafanyakazi na muwekezaji wa mradi huo na baada ya mazungumzo viongozi wa kampuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani