WAFANYAKAZI WA HOTELI YA SHARON WAGOMA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Wafanyakazi wa Hoteli ya Sharon iliyopo Ubungo jijini Dar es Salaam wagoma kuendelea na majukumu yao ya kila siku huku kisa kikielezwa kuwa ni kutolipwa mshahara wao wa mwezi Aprili. Habari kutoka eneo la tukio zinasema, mgomo huo umefanyika ikiwa ni baada ya wafanyakazi hao kujiunga na chama cha wafanyakazi kiitwacho Chadau jambo linalopingwa na uongozi wa hoteli hiyo. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo14 May
Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wafanyakazi Shoprite wagoma
ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bDoFS8A-qAvljAXmE9202WXKpQpeJW9dakFZpkrv-Fw*ehAvaiPICbMIG1F5qSZh3f5952QYl0SxG7hQuKLLbg/BREAKINGNEWS.gif)
WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:
10 years ago
Habarileo08 Oct
Wafanyakazi Hospitali ya Regency wagoma
BAADHI ya wafanyakazi wa vitengo mbalimbali katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam jana waligoma kufanya kazi wakilalamikia kutopandishwa mishahara kwa muda mrefu.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s72-c/866.jpg)
WAFANYAKAZI DARAJA LA KIGAMBONI WAGOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Jnun36kzdfY/VDu74136agI/AAAAAAABK7g/Nid8NgAVapQ/s640/866.jpg)
Khamis Mpili, alisema tangu mradi wa ujenzi huo uanze kuna wafanyakazi hawajapatiwa mikataba ya kazi, hali inayosababisha kukosa haki zao za msingi zikiwamo malipo ya likizo,...
9 years ago
StarTV04 Nov
Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia wagoma
Wafanyakazi wa Kampuni ya Organia iliyopo Kibaha Mkoani Pwani wamegoma kuingia kazini kwa zaidi ya saa 7 kwa madai ya kutopatiwa mikataba ya kazi, kunyanyaswa na muwekezaji, mishahara midogo tofauti na kazi wanazofanya na kukosekana kwa huduma ya choo hali inayohatarisha afya zao kutokana na kujisaidia porini. Hali hiyo imesababisha uongozi wa mkoa wa Pwani kufika katika kampuni hiyo na kukutana na viongozi wa wafanyakazi na muwekezaji wa mradi huo na baada ya mazungumzo viongozi wa kampuni...
11 years ago
BBCSwahili01 Jul
Wafanyakazi wagoma Afrika Kusini
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Wafanyakazi Uchumi Supermarket wagoma
11 years ago
Tanzania Daima29 Apr
Wafanyakazi Strabag wagoma kwa kubaguliwa
WAFANYAKAZI wa Kampuni inayojihusisha na ujenzi wa barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, jana wamegoma kufanya kazi kutokana na kubaguliwa katika malipo ya stahili na posho....