Wafanyakazi Strabag wagoma kwa kubaguliwa
WAFANYAKAZI wa Kampuni inayojihusisha na ujenzi wa barabara ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT) ya Strabag, jana wamegoma kufanya kazi kutokana na kubaguliwa katika malipo ya stahili na posho....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bDoFS8A-qAvljAXmE9202WXKpQpeJW9dakFZpkrv-Fw*ehAvaiPICbMIG1F5qSZh3f5952QYl0SxG7hQuKLLbg/BREAKINGNEWS.gif)
WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:
9 years ago
StarTV13 Nov
Wafanyakazi Tanzania China Friendship Ltd wagoma kwa kutolipwa  mshahara
Wafanyakazi zaidi ya elfu moja wa kiwanda cha Tanzania China Friendship Limited wamegoma kwa lengo la kudai stahili zao mbalimbali ikiwemo madai ya mshahara ambao hawajalipwa tangu mwaka 2008.
Wafanyakazi wa kiwanda hicho ambacho zamani kilijulikana kama kiwanda cha urafiki wamedai kukosa imani na uongozi uliopo kwani mbali na Tanzania kushirikiana na China katika uzalishaji bado matatizo yao hayajapatiwa ufumbuzi.
Wafanyakazi wa kiwanda cha urafiki ambao wamejikusanya mbele ya ofisi...
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Wafanyakazi wa Strabag waendelea na mgomo
11 years ago
GPL28 Apr
MGOMO WA WAFANYAKAZI WA STRABAG LEO
...
11 years ago
Habarileo30 Apr
Wafanyakazi Strabag waendelea kugoma
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa. Awali, wakizungumza nje ya ofisi za kampuni hiyo zilizopo Ubungo jijini Dar es Salaam juzi, wafanyakazi hao wanaojenga barabara za mabasi yaendayo kasi chini ya Mradi wa DART, walisema walifikia hatua ya kugoma kwa madai ya kuona wanazungushwa kupewa marupurupu hayo huku wakihofu muda uliobaki kwa kampuni hiyo kabla...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Wafanyakazi Strabag warejea kazini
WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka ya Strabag (BRT) waliokuwa wamegoma kwa siku nane mfululizo, wametii agizo la Menejimenti ya kampuni hiyo na...
11 years ago
Habarileo14 May
Wafanyakazi TAZARA wagoma
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.
11 years ago
Tanzania Daima25 Mar
Wafanyakazi Shoprite wagoma
ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....
10 years ago
Habarileo08 Oct
Wafanyakazi Hospitali ya Regency wagoma
BAADHI ya wafanyakazi wa vitengo mbalimbali katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam jana waligoma kufanya kazi wakilalamikia kutopandishwa mishahara kwa muda mrefu.