Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafanyakazi Strabag wagoma kwa kubaguliwa

WAFANYAKAZI wa Kampuni inayojihusisha  na  ujenzi wa barabara ya  mradi wa mabasi  yaendayo haraka (BRT)  ya Strabag, jana wamegoma kufanya kazi kutokana na kubaguliwa katika malipo  ya stahili  na posho....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WAFANYAKAZI STRABAG WAGOMA:

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag inayojenga barabara zitakazotumiwa na mabasi yaendayo kasi jijini Dar es Salaam (Dart), wamegoma kufanya kazi wakishinikiza kuongezewa maslahi.

 

9 years ago

StarTV

Wafanyakazi Tanzania China Friendship Ltd wagoma kwa kutolipwa  mshahara

 

Wafanyakazi zaidi ya elfu moja wa kiwanda cha Tanzania China Friendship Limited wamegoma kwa lengo la kudai stahili zao mbalimbali ikiwemo madai ya mshahara ambao hawajalipwa tangu mwaka 2008.

Wafanyakazi wa kiwanda hicho ambacho zamani kilijulikana kama kiwanda cha urafiki wamedai kukosa imani na uongozi uliopo kwani mbali na Tanzania kushirikiana na China katika uzalishaji bado matatizo yao hayajapatiwa ufumbuzi.

Wafanyakazi wa kiwanda cha urafiki ambao wamejikusanya mbele ya ofisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyakazi wa Strabag waendelea na mgomo

Wafanyakazi wa kampuni ya ujenzi ya Strabag, inayotekeleza mradi wa mabasi ya kasi, Dart, wameendelea na mgomo ulioanza juzi kushinikiza uongozi uwalipe malimbikizo ya posho zao za takriban miezi saba.

 

11 years ago

GPL

MGOMO WA WAFANYAKAZI WA STRABAG LEO

WAFANYAKAZI wa kampuni ya ujenzi wa barabara ya magari yaendayo kasi ‘STRABAG’ iliyopo maeneo ya Ubungo jijini Dar, leo asubuhi wameingia katika mgomo wakipinga uongozi wa kampuni hiyo kuwalipa mishahara midogo wafanyakazi wake na kuondolewa posho zao za wiki na mwisho kabisa wakipinga suala la kutopewa ajira kwa vibarua waliofanya kazi kwa muda mrefu katika kampuni hiyo.

...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Strabag waendelea kugoma

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya ujenzi ya Strabag, wameingia siku ya pili ya mgomo wao huku wakishinikiza kulipwa marupurupu mbalimbali, wanayoyadai kwa zaidi ya miezi saba hadi sasa. Awali, wakizungumza nje ya ofisi za kampuni hiyo zilizopo Ubungo jijini Dar es Salaam juzi, wafanyakazi hao wanaojenga barabara za mabasi yaendayo kasi chini ya Mradi wa DART, walisema walifikia hatua ya kugoma kwa madai ya kuona wanazungushwa kupewa marupurupu hayo huku wakihofu muda uliobaki kwa kampuni hiyo kabla...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Strabag warejea kazini

WAFANYAKAZI wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka  ya Strabag (BRT) waliokuwa wamegoma kwa siku nane  mfululizo, wametii  agizo la Menejimenti ya kampuni hiyo na...

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi TAZARA wagoma

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) wamegoma kufanya kazi kwa kushinikiza kulipwa mishahara yao ya miezi mitatu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyakazi Shoprite wagoma

ZAIDI ya wafanyakazi 100 wa maduka ya Shoprite jijini Dar es Salaam wamegoma baada ya mmiliki wa maduka hayo kushindwa kuwalipa malimbikizo ya fedha zao tangu mwaka 2008 hadi sasa....

 

10 years ago

Habarileo

Wafanyakazi Hospitali ya Regency wagoma

BAADHI ya wafanyakazi wa vitengo mbalimbali katika Hospitali ya Regency jijini Dar es Salaam jana waligoma kufanya kazi wakilalamikia kutopandishwa mishahara kwa muda mrefu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani