Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Marehemu, walioacha kazi walipwa mishahara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia UTARATIBU mpya wa Hazina kulipa mishahara moja kwa moja kwa watumishi wa halmashauri, umefichua ‘mchezo mchafu’ wa watumishi waliofariki na watoro kulipwa mishahara.

 

11 years ago

Habarileo

Wafanyakazi TAZARA kukatwa mishahara

MGOMO wa wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia umesababisha hasara ya Sh bilioni 2.65 ambazo sasa Serikali imesema wafanyakazi watakatwa kwenye mishahara yao kufidia. Wafanyakazi hao ambao jana wametangaza kusitisha mgomo huo baada ya Mahakama kuuba- tilisha juzi, imeelezwa kwamba mishahara yao itakatwa kwa utaratibu utakaowekwa na Menejimenti.

 

11 years ago

Mwananchi

Tazara wagoma, wadai mishahara tangu Feb.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (Tazara), wamegoma kufanya kazi hadi Serikari itakapowalipa mishahara ya miezi mitatu.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu

>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-

SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto

Wanawake nchini Uingereza wanalipwa pesa ili kuwahamasisha kujenga tabia ya kunyonyesha watoto ipasavyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Ghana walipwa fedha zao

Serikali ya Ghana imetuma dola millioni 3 ili kuwalipa wachezaji wake wa soka nchini Brazil

 

11 years ago

Habarileo

Watu 174 walipwa fidia Mwandiga

ASILIMIA 80 ya wananchi 218 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wamelipwa fidia mpaka sasa ili kupisha ujenzi wa Kituo cha Usafirishaji cha Mwandiga.

 

11 years ago

Habarileo

Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia

WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani