Wachezaji wa Ghana walipwa fedha zao
Serikali ya Ghana imetuma dola millioni 3 ili kuwalipa wachezaji wake wa soka nchini Brazil
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Y9zSblgZfmI/VXnSD5n_cQI/AAAAAAAACBg/vhK4jICMVhc/s72-c/remote_image_ece3c110f8.jpg)
ORODHA YA WACHEZAJI WALIOTEMWA NA TIMU ZAO LIGI YA UINGEREZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y9zSblgZfmI/VXnSD5n_cQI/AAAAAAAACBg/vhK4jICMVhc/s400/remote_image_ece3c110f8.jpg)
Mchezaji wa Manchester United, Tom Cleverley ni miongoni mwa majina makubwa yaliyotangazwa kuachwa katika orodha ya ligi kuu England.Kwa taratibu za ligi kuu England, msimu ukishamalizika, timu zinatakiwa kuwasilisha majina ya wachezaji itakaowatema kuelekea msimu mpya.Baada ya kumalizika kwa msimu wa 2014/2015, wachezaji waliotangazwa kuachwa na baadhi ya timu za England hawa hapa;
PREMIER LEAGUE RELEASED LIST FOR 2014-15
ArsenalAbou Diaby, Jack Jebb, Oluwasemilogo Adesewo Ajayi,Austin...
9 years ago
Bongo514 Oct
Hii ndo top 10 ya wachezaji ambao jezi zao zinaongoza kuuzwa
Hii ni list iliyotolewa ya vilabu/wachezaji ambao jezi zao zinaongozwa kwa kuuza ulaya. Imetolewa na mtandao wa Kitbag.com na kuoredhesha majina ya wachezaji 10 ambao jezi zenye namba zao zinaongoza kwa kuuzwa barani ulaya. Mchezajia ambaye amewashangaza wengi ni winga mpya wa klabu ya Manchester United anayevaa jezi namba 7, Memphis Depay baada ya kushika […]
11 years ago
Tanzania Daima12 May
Wachezaji wasiponzwe na tamaa ya fedha
KINACHOWAPONZA baadhi ya wachezaji wetu wa mikoani ni tamaa ya kupata fedha za haraka kutoka Simba na Yanga. Wengine hudiriki kuacha hata ajira zao ambazo zingewafaa baada ya kustaafu. Kuna...
9 years ago
Bongo510 Sep
Hii ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi kwenye EPL
Hii ni orodha ya nyota wanaolipwa mishahara mikubwa kwenye ligi kuu, ya Uingereza. Wayne Rooney analipwa pauni 260,000 kwa wiki Wastani wa mshahara kwa kila mchezaji wa katika ligi hiyo ni pauni 44,000 kwa wiki ambazo ni sawa na pauni milioni 2.29 kwa mwaka lakini vilabu vikubwa hulipa zaidi ya hivyo. Sergio Aguero huchukua pauni […]
9 years ago
Bongo505 Sep
Orodha ya wachezaji 12 wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka 2015
Hii ni orodha ya wachezaji wa tennis duniani walioingiza fedha nyingi mwaka huu kwa mujibu wa Forbes. 1. Roger Federer – $67 million 2. Novak Djokovic – $48.2 million 3. Rafael Nadal – $32.5 million 4. Maria Sharapova -$29.7 millio 5. Serena Williams – $24.6 million 6. Andy Murray – $22.3 million 7. Kei Nishikori […]
11 years ago
Michuzi05 Jun
HAWA NDIO WACHEZAJI 32 WANAOTARAJIWA KUNG’ARA ZAIDI NA KUONGOZA TIMU ZAO WAKATI WA FIFA WORLD CUP 2014
Fainali za Kombe la Dunia ni uwanja mpana. Ni mahali ambapo vipaji na vipaji vya wanasoka duniani huonekana. Madalali wa kuvumbua na kununua wachezaji [scouts] hufurika kwenye mashindano kama haya wakijua wazi kabisa kwamba pale ndipo watakapoona “lulu” kwa ajili ya vilabu vyao. Kwa maana hiyo kuna kila aina ya harakati za kimichezo na kuonyesha na kuonyeshana vipaji. Hii sio kumaanisha kwamba wachezaji wote mahiri hapa duniani walicheza katika fainali za Kombe la Dunia.La.
Wapo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s72-c/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zao
![](http://2.bp.blogspot.com/-aEz0r1Anq0w/VanQ3bKZDuI/AAAAAAAAJCs/-sFjm90S4zQ/s320/Said%2BMkinda%252C%2BMshindi%2BLindi.jpg)
Washindi wanne wa Kopa Bayport wakabidhiwa fedha zaoNa Mwandishi Wetu, Dar es SalaamWATEJA wanne wa Taasisi ya Kifedha ya Bayport Financial Services, walioshinda Sh Milioni Moja kila mmoja katika bahati...
10 years ago
Vijimambo24 Feb
WANANCHI WANAIONA RUSHWA KAMA UPOTEVU WA FEDHA ZAO
wangependa Rais achukue hatua
Lakini ni wachache tu wanaounga mkono adhabu kali kwa viongozi wala rushwa
24 Februari 2015, Dar es Salaam: Wananchi saba kati ya kumi (69%) wanasema rushwa zilizoripotiwa kwenye ripoti ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ni upotevu wa fedha zao (za umma). Zaidi ya nusu ya wananchi (55%) wanaamini kuwa aina hii ya rushwa inagusa sana maisha ya yao ya kila siku, na watatu kati ya kumi (31%) wangependa kutaarifiwa kuhusu matokeo ya...
Lakini ni wachache tu wanaounga mkono adhabu kali kwa viongozi wala rushwa
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2012/03/4.-Wananchi-wakiwa-kwenye-mkutano-wa-Kata-ya-Mbuguni.jpg)
10 years ago
MichuziWANANCHI WANATAKA USIMAMIZI WA FEDHA ZAO KATIKA KUWALETEA MAENDELEO YA KIUCHUMI -CAG
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania