Watu 174 walipwa fidia Mwandiga
ASILIMIA 80 ya wananchi 218 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wamelipwa fidia mpaka sasa ili kupisha ujenzi wa Kituo cha Usafirishaji cha Mwandiga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo18 Dec
Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia
WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Walipwa fidia ya mil 263/- kupisha ujenzi wa chuo
Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Singida, Hassanal Issaya akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kila siku.
Na Nathaniel Limu, Singida
CHUO cha utumishi wa umma Tanzania tawi la mkoa wa Singida,limetumia shilingi 263 milioni kulipa fidia kwa wakazi wa kijiji cha Sasu kata ya Mungumaji manispaa ya Singida,ili waweze kupisha ujenzi wa chuo hicho mwaka wa fedha ujao.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa chuo hicho, Hassanal Issaya, wakati akizungumza na MOblog...
11 years ago
Mwananchi31 May
Wachimbaji 174 wafutiwa leseni
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Miaka 10 ya Zitto Kabwe yaishia mji wa Mwandiga, awaaga rasmi wapiga kura wake jimboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-09MnxenjV_4/VQV8AFweeMI/AAAAAAAHKeI/JhNcoq77Y6s/s1600/009.jpg)
Vijana wa Kigoma wakiwa na bango wakimsubiri Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.(Picha zote na www.issamichuzi.blogspot.com).
![](http://4.bp.blogspot.com/-VS-bacvHOD4/VQV8BvIHcrI/AAAAAAAHKeQ/CxA_7US6XdA/s1600/008%2B(1).jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-15G_897XRHs/VQV8EnxhmDI/AAAAAAAHKeY/Sfh6TYTM_eM/s1600/006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZJmj66Y1ao/VQV8G13wjFI/AAAAAAAHKeg/LBTms4IatHA/s1600/007.jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” akiwa amebebwa na wananchi wa jimboni kwake alipokwenda kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-
SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...
10 years ago
Habarileo22 Jan
TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4
WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Wachezaji wa Ghana walipwa fedha zao
10 years ago
Habarileo18 Aug
Marehemu, walioacha kazi walipwa mishahara
UTARATIBU mpya wa Hazina kulipa mishahara moja kwa moja kwa watumishi wa halmashauri, umefichua ‘mchezo mchafu’ wa watumishi waliofariki na watoro kulipwa mishahara.