Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watu 174 walipwa fidia Mwandiga

ASILIMIA 80 ya wananchi 218 wa Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, wamelipwa fidia mpaka sasa ili kupisha ujenzi wa Kituo cha Usafirishaji cha Mwandiga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Askari 15 waliofariki Sudan,DRC walipwa fidia

WIZARA ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), imeshawalipa mishahara ya miezi sita kama fidia askari 15 waliofariki wakiwa kazini Darfur, Sudan na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

 

10 years ago

Dewji Blog

Walipwa fidia ya mil 263/- kupisha ujenzi wa chuo

DSC00832

Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Singida, Hassanal Issaya akiwa ofisini kwake akitekeleza majukumu yake ya kila siku.

Na Nathaniel Limu, Singida

CHUO cha utumishi wa umma  Tanzania tawi la mkoa wa Singida,limetumia shilingi 263 milioni kulipa fidia kwa wakazi wa kijiji cha Sasu kata ya Mungumaji manispaa ya Singida,ili waweze kupisha ujenzi wa chuo hicho mwaka wa fedha ujao.

Hayo yamesemwa  na Mkurugenzi wa chuo hicho, Hassanal Issaya, wakati akizungumza na MOblog...

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji 174 wafutiwa leseni

Wizara ya Nishati na Madini imefuta jumla ya leseni 174 za utafutaji madini na leseni moja ya uchimbaji mkubwa wa madini kutokana na kukiuka taratibu na sheria za madini nchini.

 

10 years ago

Dewji Blog

Miaka 10 ya Zitto Kabwe yaishia mji wa Mwandiga, awaaga rasmi wapiga kura wake jimboni

Vijana wa Kigoma wakiwa na bango wakimsubiri Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.(Picha zote na www.issamichuzi.blogspot.com).

Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.

Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” akiwa amebebwa na  wananchi wa jimboni kwake alipokwenda kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.

005

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-

SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...

 

10 years ago

Habarileo

TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto

Wanawake nchini Uingereza wanalipwa pesa ili kuwahamasisha kujenga tabia ya kunyonyesha watoto ipasavyo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa Ghana walipwa fedha zao

Serikali ya Ghana imetuma dola millioni 3 ili kuwalipa wachezaji wake wa soka nchini Brazil

 

10 years ago

Habarileo

Marehemu, walioacha kazi walipwa mishahara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia UTARATIBU mpya wa Hazina kulipa mishahara moja kwa moja kwa watumishi wa halmashauri, umefichua ‘mchezo mchafu’ wa watumishi waliofariki na watoro kulipwa mishahara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani