Miaka 10 ya Zitto Kabwe yaishia mji wa Mwandiga, awaaga rasmi wapiga kura wake jimboni
Vijana wa Kigoma wakiwa na bango wakimsubiri Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.(Picha zote na www.issamichuzi.blogspot.com).
![](http://4.bp.blogspot.com/-VS-bacvHOD4/VQV8BvIHcrI/AAAAAAAHKeQ/CxA_7US6XdA/s1600/008%2B(1).jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” alipokwenda jimboni huko kutoa Ahsante kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
![](http://4.bp.blogspot.com/-15G_897XRHs/VQV8EnxhmDI/AAAAAAAHKeY/Sfh6TYTM_eM/s1600/006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bZJmj66Y1ao/VQV8G13wjFI/AAAAAAAHKeg/LBTms4IatHA/s1600/007.jpg)
Mhe. Zitto Kabwe “Mirumbani” akiwa amebebwa na wananchi wa jimboni kwake alipokwenda kuwashukuru kwa kumchagua kuwa mbunge wao kwa vipindi viwili.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM23 Jun
MBUNGE MGIMWA ATUMIA USAFIRI WA BAISKELI KUWAFIKIA WAPIGA KURA WAKE JIMBONI
MBUNGE wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa amevunja rekodi ya wabunge wa jimbo hilo na majimbo mengine ya mkoa wa Iringa na Tanzania kwa kuachana na matumizi ya magari ya kifahari na kuamua kutumia usafiri wa Baiskeli kuwatembelea wapiga kura wake.
Mbunge huyo alifikia hatua hiyo leo baada ya mmoja kati ya magari yake mawilio yaliyokuwa katika msafara wake kukwama kulazimika kutumia usafiri huo wakati wa ziara yake ya siku mbili ya kuwatembelea wapiga kura wake na kupokea changamoto mbali...
10 years ago
Michuzi20 Jun
KIONGOZI WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO, ZITTO KABWE, AWAHUTUBI WAKAZI WA MJI WA MPANDA
![001](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/00111.jpg)
![002](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0027.jpg)
![mail.google.com](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mail.google.com_18.jpg)
![003](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/06/0033.jpg)
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama chadema
11 years ago
Michuzi29 Jun
mbunge wa kalenga mhe godfrey mgimwa atembelea wapiga kura jimboni kwa baiskeli
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
ZITTO KABWE APIGA KURA YAKE KIGOMA MJINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-kpOjkrjiWI0/Vi0tkqKt9ZI/AAAAAAAICxk/XOYnLdY2YDc/s640/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s72-c/Zitto--30march2015.jpg)
ZITTO KABWE ACHUKUA RASMI FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-Th3OZYT9rWE/VWDFwQ_66WI/AAAAAAAABqc/TrQnJFr3wmI/s400/Zitto--30march2015.jpg)
Safari ya mbunge wa zamani wa Kigoma Kaskazini kwa tiketi ya Chadema, Zitto Kabwe kurejea bungeni imeanza rasmi baada ya kiongozi huyo wa chama kipya cha ACT-Wazalendo kuchukua fomu za kuwania kuongoza jimbo la Kigoma Mjini.
Uamuzi huo wa kulitaka jimbo hilo unathibitisha kauli zake ambazo amekuwa akizitoa kwa muda mrefu kuwa hatarudi tena Kigoma Kaskazini kwa kuwa alishawatimizia kila kitu na haoni sababu za kuwawakilisha tena wananchi wa eneo hilo.
Kauli yake iliibua ubashiri kuwa Zitto...
10 years ago
MichuziMBUNGE MBATIA AJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA WAPIGA KURA KIJIJINI KWAO KWAMARE JIMBONI VUNJO
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
10 years ago
VijimamboZITTO KABWE MGENI RASMI MKUTANO MKUU WA JIMBO LA URAMBO