Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marehemu, walioacha kazi walipwa mishahara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia UTARATIBU mpya wa Hazina kulipa mishahara moja kwa moja kwa watumishi wa halmashauri, umefichua ‘mchezo mchafu’ wa watumishi waliofariki na watoro kulipwa mishahara.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

TAZARA walipwa mishahara ya miezi 4

WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA) waliokuwa wakidai mishahara yao ya miezi mitano, jana walilipwa sehemu ya madai hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Kodi ya mishahara yapungua kiduchu, mishahara juu

>Kilio cha muda mrefu cha wafanyakazi nchini kutaka Kodi ya Mshahara (Paye), ipunguzwe hadi chini ya asilimia 10 kimekwama baada ya Serikali kupunguza kodi hiyo kwa asilimia moja.

 

9 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manyoni yatumia zaidi ya Mil.99 kuwalipa mishahara Watendaji wa Vijiji wasiokuwa na vituo vya kazi

SAM_0400

Afisa utumishi wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bi Pinina (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa na baadhi ya watumishi wa Halmashauri hiyo waliohudhuria kwenye uzinduzi wa mkutano wa baraza la madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi.

SAM_0396

Diwani wa kata ya Mgandu, Bwana Martini Kapona (aliyevaa shada la maua) mara tu baada ya kula kiapo cha utii cha kuwatumikia wananchi wate waliomchagua na wasiomchagua.

SAM_0399

Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Manyoni, Bw.Supeet Roine Mseya (wa...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

Habarileo

SMZ yapongezwa kunusuru walioacha shule

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kufanikiwa kupambana na tatizo la ajira mbaya kwa watoto, ikiwemo kuwanusuru waliokuwa wameacha shule kwa zaidi ya miaka mitano.

 

10 years ago

Bongo5

Baba wa marehemu Geez Mabovu amtembelea Lamar kusikiliza kazi alizoacha mwanae

Baba wa marehemu, Geez Mabovu, Mzee Ally, amemtembelea producer Lamar kwenye studio zake jijini Dar es Salaam na kuzungumza mambo mbalimbali kuhusu kazi za mwanae zilizosalia. Lamar ameiambia Bongo5 kuwa Mabovu aliacha ngoma saba ambazo zitatoka kwa njia ya album itakayouzwa. “Alikuja tu kunitembelea na kusikiliza kazi ambazo aliacha Geez,” amesema Lamar. “Mimi ndo nina […]

 

11 years ago

Michuzi

WINGU JEUSI LATANDA MSIBA WA SISTA ANNA, DAYOSISI YA KUSINI KATI YATANGAZA KUENDELEA KUENZI KAZI ZA MAREHEMU

WINGU JEUSI LATANDA MSIBA WA SISTA ANNA, DAYOSISI YA KUSINI KATI YATANGAZA KUENDELEA KUENZI KAZI ZA MAREHEMUSista Anna Enzi za uhai wake.
Msiba wa sista Anna Peterson umeibua simanzi si kwa familia yake tu bali kwa wananchi wa wilaya ya Makete mkoani Njombe alipokuwa akifanya kazi za kijamii tangu ujana wake. 
Hayo yamebainika wakati wa ibaada maalum ya kumkumbuka iliyofanyika hii leo katika kanisa la KKKT usharika wa Amani Bulongwa, ibaada iliyoongozwa na baba askofu wa dayosisi ya kusini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Ruvuma walipwa bil. 6/-

SERIKALI kupitia Wakala wa Hifadhi ya Taifa ya Chakula (NFRA) Kituo cha Songea, mkoani Ruvuma imewalipa wakulima sh bilioni 6.6 walizokuwa wakidai baada ya kuuza mahindi yao. Mkuu wa Mkoa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanawake walipwa kwa kunyonyesha watoto

Wanawake nchini Uingereza wanalipwa pesa ili kuwahamasisha kujenga tabia ya kunyonyesha watoto ipasavyo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani