Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SMZ yapongezwa kunusuru walioacha shule

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa kufanikiwa kupambana na tatizo la ajira mbaya kwa watoto, ikiwemo kuwanusuru waliokuwa wameacha shule kwa zaidi ya miaka mitano.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

SMZ yapongezwa kununua meli mpya

CHAMA Cha Mapinduzi kimeipongeza Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) chini ya Dk Ali Mohamed Shein kwa kutekeleza ahadi zake kwa vitendo kwa kununua meli mpya ya abiria na mizigo kwa wananchi wa Zanzibar.

 

11 years ago

Habarileo

Bakwata yapongezwa kwa kujenga shule, chuo

BARAZA la Waislamu Tanzania (Bakwata), limepongezwa kwa ujenzi wa shule na chuo cha ualimu kwenye Makao Makau ya baraza hilo, Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI NA ZINAZOISHI MAZINGIRA HATARISHI UNAORATIBIWA NA TASAF YAIMARISHA MAHUDHURIO YA WANAFUNZI SHULE ZA MSINGI

 Afisa Habari wa TASAF (mwenye T-SHIRT NYEUPE) Estom Sanga akizungumza na mmoja wa wanafunzi ambao kaya yake inanufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini.   Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Mcharo ambao kaya zao zimo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini wilayani Bunda mkoani Mara.   Samweli George na Anna George ambao wanatoka katika kaya inayonufaika na mpango wa kunusuru kaya masikini wakiwa makini kuelekea shuleni.    Wanafunzi wa shule ya msingi Mcharo Baadhi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Marehemu, walioacha kazi walipwa mishahara

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tamisemi, Hawa Ghasia UTARATIBU mpya wa Hazina kulipa mishahara moja kwa moja kwa watumishi wa halmashauri, umefichua ‘mchezo mchafu’ wa watumishi waliofariki na watoro kulipwa mishahara.

 

10 years ago

Dewji Blog

NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar

 Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana.  Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...

 

10 years ago

GPL

NHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR‏

 Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana.  Katikati mstari wa mbele ni...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yapongezwa Mtwara

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, ameipongeza kampuni ya simu za mikononi ya Airtel kwa kuboresha mazingira ya maduka yao kuwa ya kisasa na kiusalama zaidi kwa watumiaji...

 

10 years ago

Tanzania Daima

St. Methew Kongowe yapongezwa

MKURUGENZI Msaidizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Magret Komba ameipongeza shule ya sekondari St. Mathew ya Kongowe Pwani, kwa kufaulisha wanafunzi 477 kwenda kidato cha tano mwaka huu....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani