Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


St. Methew Kongowe yapongezwa

MKURUGENZI Msaidizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Magret Komba ameipongeza shule ya sekondari St. Mathew ya Kongowe Pwani, kwa kufaulisha wanafunzi 477 kwenda kidato cha tano mwaka huu....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO

Mmoja wa washiriki wa Kongowe jogging akiwa kashika bendera ya taifa kama ishara ya uzalendo. Mbunge wa Kigamboni, Mhe. Faustine Ndugulile (mwenye jezi ya bluu) pamoja na viongozi wengine wa serikali kutoka Jimbo la Kigamboni wakiongoza…

 

11 years ago

Dewji Blog

Barabara ya Kongowe — Mji Mwema — Kigamboni tayari inapitika

Picha Na. 1

Matengenezo yakiendelea katika Daraja la Mpiji.

Picha Na. 2

Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akifuatilia matengenezo katika Daraja la Mpiji.

Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi la Tanzania wamefanikisha kuifungua barabara ya Kongowe kuelekea Mjimwema hadi Kigamboni ambayo ilijifunga kutokana na kukatika kwa kalvati katika mto Mtokozi . Kalvati hilo lilibomolewa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku kadhaa hapa jijini.

Hapo juzi siku ya Jumanne,...

 

11 years ago

GPL

YADI YA MABOMBA YA GESI KONGOWE DAR YAFUNIKWA NA MAJI

Kutokana na hali hiyo magari yamefunikwa na maji, hivyo kusababisha kazi kusimama na wigo uliozungushiwa mabati kubomoka na 'mateja' kujitwalia mabati hayo, hivyo kuwa neema kwao. Wakati huo huo usafiri wa mabasi kutoka Mbagala kwenda Kongowe umesimama kutokana na magari mengi kuzimika katikakati ya barabara hiyo, hivyo hivi sasa kuna msururu wa watu wanaotembea kwa miguu kwenda Kongowe au kutoka Kongowe kwenda Mbagala. ...

 

11 years ago

Michuzi

DK. MAGUFULI ASIMAMIA URUDISHWAJI HUDUMA DARAJ LA MTO MZINGA, KONGOWE

Maelfu ya abiria waliotarajia kusafiri kwenda mikoa ya Kusini (Lindi na Mtwara walishindwa kufanya hivyo baada ya daraja la Mto Mzinga lililopo eneo la Kongowe, jijini Dar es Salaam, kubomoka na kusombwa na mafuriko kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam na mikoa ya jirani.
Daraja hilo lilibomoka tarehe 13 Aprili, 2014 majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya mabasi matatu kuvuka.
Daraja lilibomoka majira ya saa 12:00 na kufanya msururu wa mabasi yaendayo mikoa ya...

 

11 years ago

GPL

MAAFA YA MVUA DAR: DARAJA LA MBAGALA-KONGOWE NALO LAKATIKA

Daraja la Mbagala-Kongowe likiwa limekatika kutokana na mvua kubwa zinazonyesha.…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA MTU WAOKOTWA MTO MZINGA, KONGOWE JIJINI DAR

Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga. Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji. Kamera yetu leo hii imenasa mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam. Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo ambayo… ...

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA YA KONGOWE — MJI MWEMA — KIGAMBONI TAYARI IMEANZA KUPITIKA

Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi la Tanzania wamefanikisha kuifungua barabara ya Kongowe kuelekea Mjimwema hadi Kigamboni ambayo ilijifunga kutokana na kukatika kwa kalvati katika mto Mtokozi . Kalvati hilo lilibomolewa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku kadhaa hapa jijini.
Hapo jana siku ya Jumanne, Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pia alishirikiana na watendaji kwa siku nzima akiwa eneo la Mpiji kuhakikisha barabara ya Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA

NA MWAMVUA MWINYI,KIBAHA

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.

Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .

Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...

 

9 years ago

Habarileo

Magazeti ya Serikali yapongezwa

BALOZI wa India nchini, Sandeep Arya ameisifu Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kwa kuchapisha habari za kuaminika kwa kuzingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani