St. Methew Kongowe yapongezwa
MKURUGENZI Msaidizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Magret Komba ameipongeza shule ya sekondari St. Mathew ya Kongowe Pwani, kwa kufaulisha wanafunzi 477 kwenda kidato cha tano mwaka huu....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKONGOWE JOGGING YAADHIMISHA MIAKA MITANO
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Barabara ya Kongowe — Mji Mwema — Kigamboni tayari inapitika
Matengenezo yakiendelea katika Daraja la Mpiji.
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akifuatilia matengenezo katika Daraja la Mpiji.
Wakala wa Barabara nchini (TANROADS) kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi la Tanzania wamefanikisha kuifungua barabara ya Kongowe kuelekea Mjimwema hadi Kigamboni ambayo ilijifunga kutokana na kukatika kwa kalvati katika mto Mtokozi . Kalvati hilo lilibomolewa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku kadhaa hapa jijini.
Hapo juzi siku ya Jumanne,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
YADI YA MABOMBA YA GESI KONGOWE DAR YAFUNIKWA NA MAJI
11 years ago
Michuzi15 Apr
DK. MAGUFULI ASIMAMIA URUDISHWAJI HUDUMA DARAJ LA MTO MZINGA, KONGOWE
Daraja hilo lilibomoka tarehe 13 Aprili, 2014 majira ya saa 12:00 asubuhi baada ya mabasi matatu kuvuka.
Daraja lilibomoka majira ya saa 12:00 na kufanya msururu wa mabasi yaendayo mikoa ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04asyFi50DvRmnlZin6PjRdj6lslnSnOLjALPWFf2rlz6q6QmQ6fTDe77nXHCW909MDu4uZKWS0Nr4WlV9hpGGw4h/mvuaku9.jpg)
MAAFA YA MVUA DAR: DARAJA LA MBAGALA-KONGOWE NALO LAKATIKA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39dZFATIwFmKXSjSbgG7a5MNVgahgsziZ-0jes-D3aWHlctxpBjzBwuCSWfdKvoPqEW*yIABdFZH79dazALiF0v8/MWILI1.jpg?width=650)
MWILI WA MTU WAOKOTWA MTO MZINGA, KONGOWE JIJINI DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DVdfg42RkUE/U07w-DTKeRI/AAAAAAAFbYk/XoNPLMnGaS0/s72-c/Picha+Na.+1.jpg)
BARABARA YA KONGOWE — MJI MWEMA — KIGAMBONI TAYARI IMEANZA KUPITIKA
Hapo jana siku ya Jumanne, Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli pia alishirikiana na watendaji kwa siku nzima akiwa eneo la Mpiji kuhakikisha barabara ya Dar es...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s72-c/photo.jpg)
BUNDALA AWAASA WANACCM KONGOWE ,KIBAHA KUACHA SIASA ZA MAJUNGU ILI KUKIIMARISHA CHAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-OFgX-QWRgUg/XufjyZNVCkI/AAAAAAALt98/thyngRm11GAlGARfulqXv__LDyzcYmELACLcBGAsYHQ/s200/photo.jpg)
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Kibaha Mjini ,Pwani ,Maulid Bundala amewaasa baadhi ya wanachama wa CCM Kongowe na Kibaha kijumla kuachana na siasa za majungu na badala yake wajenge umoja ,upendo na mshikamano ili kukiimarisha chama.
Aidha amekemea kupitapita kwa baadhi ya watu wenye nia ya kugombea nafasi za udiwani na ubunge na kudai atakaebainika kupitapita kuanza kampeni kabla ya wakati atachukuliwa hatua .
Akipokea taarifa ya utekelezaji ya ilani kata ya...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Magazeti ya Serikali yapongezwa
BALOZI wa India nchini, Sandeep Arya ameisifu Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kwa kuchapisha habari za kuaminika kwa kuzingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari.