YADI YA MABOMBA YA GESI KONGOWE DAR YAFUNIKWA NA MAJI
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Kutokana na hali hiyo magari yamefunikwa na maji, hivyo kusababisha kazi kusimama na wigo uliozungushiwa mabati kubomoka na 'mateja' kujitwalia mabati hayo, hivyo kuwa neema kwao. Wakati huo huo usafiri wa mabasi kutoka Mbagala kwenda Kongowe umesimama kutokana na magari mengi kuzimika katikakati ya barabara hiyo, hivyo hivi sasa kuna msururu wa watu wanaotembea kwa miguu kwenda Kongowe au kutoka Kongowe kwenda Mbagala. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s72-c/IMG_8042.jpg)
DAR YAFUNIKWA NA MAJI KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA, WANANCHI WAKOSA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-HVBebG1pzFE/VUth3OffLlI/AAAAAAAHV_A/_l8cspxbrBk/s640/IMG_8042.jpg)
MAFURIKO,Mafuriko,Mafuriko .! Jiji la Dar limejaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha wengine kukosa makazi.
Maeneo yaliyokumbwa kwa mafuriko ni Mnyamani (Ilala),Bonde la Mpunga (Kinondoni) ,Kigogo (Kinondoni),Mikocheni ( Kinondoni),Vingunguti (Ilala) Tabata Kisiwani (Ilala)na Kurasini (Temeke) na maeneo mengine ambayo hayajawahi kupata mafuriko yamefika.
Mvua hizo zimeharibu miundombinu katika barabara ya Morogoro kwa kujaa...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s72-c/unnamed+(8).jpg)
shehena ya mwisho ya mabomba kwa ajili ya ujenzi wa bomba la gesi yawasili dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-wTq5CxsTvBE/Uvd7A7BdMOI/AAAAAAAFL7E/VYs-VnG9DNM/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
MichuziKONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR,WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA
Borouge ilileta wataalam wanne ambao ni Mario Andrade, Farraj Tashman, Andrew Wedgner na Reda Ashkar. walionufaika na mafunzo hayo ni waliotoka Mamlaka za Maji mijini na vijiji, Wahandisi,...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uQWMxOpimYE/U5Qg_S3AOUI/AAAAAAAFot8/8sZOm-_Yg8A/s72-c/unnamed+(34).jpg)
KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM, WADAU WAJIONEA TEKNOLOJIA MPYA YA MABOMBA
10 years ago
Mtanzania23 Jan
Mtwara yafunikwa na maji
Na Florence Sanawa, Mtwara
NYUMBA zaidi ya 200 zimezingirwa na maji baada ya mvua kubwa kunyesha hali iliyosababisha mafuriko makubwa na kuzua taharuki kwa wakazi wa maeneo ya Kiyangu B, Kisutu, Ligula na Mdenga.
Mvua hiyo iliyoanza kunyesha saa 8 usiku wa kuamkia jana hadi saa 11 alfajiri imeharibu makazi ya watu na miundombinu katika mji wa Mtwara.
Kutokana na hali hiyo iliulazimu uongozi wa mkoa kuitisha kikao cha Kamati ya Ulinzi na Usalama ambapo walijadili hali hiyo na kufanya ziara ya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s72-c/unnamed+(13).jpg)
Rotary Club Dar es Salaam wazindua mabomba ya maji safi na salama ya kunywa katika Shule ya msingi ya Kijitonyama
![](http://1.bp.blogspot.com/-ShxwJaAFr8Y/UySFYWh5qrI/AAAAAAAFTpg/sKvyNnevnzY/s1600/unnamed+(13).jpg)
11 years ago
Habarileo09 Feb
Shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi yawasili
SHEHENA ya mwisho ya mabomba ya gesi imewasili Dar es Salaam jana ikitokea China na kuleta uhakika wa kukamilika kwa wakati kwa mradi wa ujenzi wa bomba la kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam, ifikapo Juni mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kitwanga apokea shehena ya mwisho mabomba ya gesi
NAIBU Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia nishati, Charles Kitwanga, amepokea shehena ya mwisho ya mabomba ya gesi katika Bandari ya Mtwara na kueleza ujio wa miundombinu hiyo ni neema...
11 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA APOKEA SHEHENA YA MWISHO YA MABOMBA YA GESI