Magazeti ya Serikali yapongezwa
BALOZI wa India nchini, Sandeep Arya ameisifu Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), kwa kuchapisha habari za kuaminika kwa kuzingatia maadili ya taaluma ya uandishi wa habari.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo15 Dec
Serikali yapongezwa kujali wenye ulemavu
SHIRIKISHO la Vyama vya Watu Wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA), limempongeza Rais John Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kuyajali na kuyapa kipaumbele masuala ya Watanzania wenye ulemavu kwa kuhamishia masuala yao chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa utekelezaji wenye tija.
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Serikali yasifia magazeti ya Mwananchi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nBlS0z1Ke58/U5a6NNLO4gI/AAAAAAAFpeM/M8nvwMaI8AU/s72-c/unnamed+(28).jpg)
Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya Serikali atembelea shamba la mkuu wa wilaya ya mvomero
![](http://2.bp.blogspot.com/-nBlS0z1Ke58/U5a6NNLO4gI/AAAAAAAFpeM/M8nvwMaI8AU/s1600/unnamed+(28).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-7V1bDMru5VM/U5a6NIhvgEI/AAAAAAAFpfE/qjsH1Udelo4/s1600/unnamed+(29).jpg)
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Mwanahabari Mohamed Mambo wa Magazeti ya Serikali afiwa na Mkewe kuzikwa Ijumaa
Mke wa mwanahabari na mpiga picha mkuu wa TSN, Mohamed Mambo, Marehemu Margaret Mwaisaga enzi za uhai wake
TANGAZO LA KIFO
Mpigapicha Mkuu wa Kampuni ya Tanzania standard Newsapapers Limited (TSN), wachapishaji wa magazeti ya Dailynews, Sundaynews, Habarileo, Habarileo Jumapili na Spotileo, Bwana Mohamed Mambo anasikitika kutangaza kifo cha mke wake Margaret Amon Mwaisaga kilichotokea hospitali ya TMJ tarehe 15.09.2015. Msiba upo nyumbani kwa familia ya marehemu mikocheni nyumba namba 87...
11 years ago
Dewji Blog23 May
JK amteua Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Gabriel Lyimo Nderumaki (pichani) kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri Mtendaji wa Kampuni hiyo.
“Mwisho”
Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
22 Mei,...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s72-c/NDERUMAKI.jpg)
Rais Kikwete amteua Bw. Gabriel Nderumaki kuwa Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali, Tanzania Standard NewsPapers (TSN).
![](http://4.bp.blogspot.com/-8AlOvzKg_zE/U33_Brb8JJI/AAAAAAAFkfE/jpKvI9_-Skk/s1600/NDERUMAKI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-euUZjxhT2AE/U33-YXeO1CI/AAAAAAAFke4/xPAExh_6y1c/s1600/New+Picture+(5).bmp)
Kulingana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, Uteuzi huu umeanza tarehe 19 Mei, 2014.
Kabla ya uteuzi huo Bwana Nderumaki alikuwa Kaimu Mhariri...
10 years ago
Tanzania Daima01 Sep
St. Methew Kongowe yapongezwa
MKURUGENZI Msaidizi wa Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Magret Komba ameipongeza shule ya sekondari St. Mathew ya Kongowe Pwani, kwa kufaulisha wanafunzi 477 kwenda kidato cha tano mwaka huu....
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Airtel yapongezwa Mtwara
KATIBU Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, ameipongeza kampuni ya simu za mikononi ya Airtel kwa kuboresha mazingira ya maduka yao kuwa ya kisasa na kiusalama zaidi kwa watumiaji...