Serikali yasifia magazeti ya Mwananchi
Magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) ya Mwananchi na The Citizen yametajwa kuwa vinara wa kuripoti habari za uchaguzi bila kuonyesha ushabiki wala upendeleo tofauti na mengine nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Magazeti ya Mwananchi kidedea tena
Kwa mara nyingine, magazeti ya Mwananchi yameibuka kinara kwa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo, kwa kuzingatia weledi na kuwapa wananchi nafasi ya kuzungumza na wagombea wao.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mwananchi yazindua uchapishaji magazeti Mwanza
Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd. (MCL), jana ilizindua mpango kabambe wa kuchapisha magazeti yake jijini Mwanza na kuyasambaza asubuhi katika mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Waziri Nkamia: Magazeti ya Mwananchi yanaaminiwa
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), yanasomwa na kuaminiwa na wananchi, hivyo yaendelee kufanya kazi kwa weledi.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi
Kwa mara ya tano mfululizo, magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameibuka kinara wa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo kwa vyama vya siasa wala wagombea tangu kuanza kwa kampeni zilizodumu kwa siku 64.
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Serikali yafafanua maoni ya Mwananchi
Serikali imelaani maoni ya Mhariri wa Mwananchi katika toleo la juzi ikidai yalikuwa na lengo la kupotosha mafanikio ya Rais Jakaya Kikwete na haiba ya Tanzania mbele ya Jumuiya ya Kimataifa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s72-c/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
SERIKALI YAPIGA MARUFUKU MWANANCHI KUMSAJILIA LAINI YA SIMU MTU MWINGINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-L02gkksm_mA/XmTi4bTZU8I/AAAAAAALh7o/qnGKVX11iRA4oEsvNOuwaBqPLp07uFGIgCLcBGAsYHQ/s400/ab83d7a326da2335e0a921bda57b0f489001981e.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-zSsV3RwU8ug/VmbUcr28zfI/AAAAAAAAdKg/LgXjhnucZW0/s72-c/mpango_tra.jpg)
SERIKALI YA JPM NI NOMA! UKIBEEP TU, WANAPIGA! DKT MPANGO ATINGA TRA SAMORA BAADA YA MWANANCHI KUTUPIA UJUMBE MTANDAONI
![](http://2.bp.blogspot.com/-zSsV3RwU8ug/VmbUcr28zfI/AAAAAAAAdKg/LgXjhnucZW0/s640/mpango_tra.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Kwa nini ni muhimu kwa mwananchi kushiriki katika mchakato wa bajeti ya serikali?
Unafahamu nini kuhusu mchakato wa kutengeneza bajeti?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania