Waziri Nkamia: Magazeti ya Mwananchi yanaaminiwa
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), yanasomwa na kuaminiwa na wananchi, hivyo yaendelee kufanya kazi kwa weledi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Nkamia: Nitayafuta, kufungia magazeti
VITISHO vya watendaji wa serikali kwa vyombo vya habari vimezidi kushika kasi, safari hii Naibu Waziri wa Habari, Michezo na Utamaduni, Juma Nkamia, akitishia kuvifungia au kuvifuta. Nkamia amebainisha kuwa...
9 years ago
Mwananchi21 Oct
Serikali yasifia magazeti ya Mwananchi
Magazeti yanayochapishwa na kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL) ya Mwananchi na The Citizen yametajwa kuwa vinara wa kuripoti habari za uchaguzi bila kuonyesha ushabiki wala upendeleo tofauti na mengine nchini.
9 years ago
Mwananchi30 Sep
Magazeti ya Mwananchi kidedea tena
Kwa mara nyingine, magazeti ya Mwananchi yameibuka kinara kwa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo, kwa kuzingatia weledi na kuwapa wananchi nafasi ya kuzungumza na wagombea wao.
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Mwananchi yazindua uchapishaji magazeti Mwanza
Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd. (MCL), jana ilizindua mpango kabambe wa kuchapisha magazeti yake jijini Mwanza na kuyasambaza asubuhi katika mikoa yote ya Kanda ya Ziwa.
9 years ago
Mwananchi25 Oct
Magazeti ya Mwananchi yaibuka tena kidedea uchaguzi
Kwa mara ya tano mfululizo, magazeti ya Mwananchi na The Citizen yameibuka kinara wa kuandika habari za uchaguzi bila upendeleo kwa vyama vya siasa wala wagombea tangu kuanza kwa kampeni zilizodumu kwa siku 64.
10 years ago
VijimamboMKURUGENZI NA MHARIRI MKUU WA MAGAZETI YA MWANANCHI NA CITIZEN WATEMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NA VOA WASHINGTON, DC
11 years ago
Mwananchi20 Jan
Kitwanga, Juma Nkamia wanena
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni, Juma Nkamia, amesema kuteuliwa kwake katika nafasi hiyo kunaonyesha jinsi Rais Jakaya Kikwete anavyothamini wanahabari kuwa wana upeo na wana uwezo wa kujisimamia.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7D9*W2NIVZRuWP*o90Ja44YbVnfVUdfWYHGereETYHxKa3YkDOFFlzEvk1vtouCB3qSYOK3tvZ-vcYJ0fVget0l/501.jpg?width=650)
NKAMIA:SIGOMBEI URAIS 2015
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015 Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na… ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania