NKAMIA:SIGOMBEI URAIS 2015
![](http://api.ning.com:80/files/DtcI2O2Ry7D9*W2NIVZRuWP*o90Ja44YbVnfVUdfWYHGereETYHxKa3YkDOFFlzEvk1vtouCB3qSYOK3tvZ-vcYJ0fVget0l/501.jpg?width=650)
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015 Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Sep
SIGOMBEI URAIS 2015 NKAMIA
![GEDSC DIGITAL CAMERA](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/-I5qVgdEmMRVqjRo7STym-oLHQcGX7XVYstMHH5loO96Ff9fHi5fXy8l6F2KKjmomFnSl-ZqMCsVTUGmCmwjGCaKOOcdn52xqfPP1ylrhfh7TMlns9dl06I=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/gedc10501.jpg?w=660)
![GEDSC DIGITAL CAMERA](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/rVMVWBNMrWzA1bW_U3zK94HcbJWEFEtXK9-m3U7hupN9S7Uf0MyfH1wS2LLNGCB6vw5vUb8MyU0azTAqjaM24700pderS9VDpxcBAxe7GofKinKpJcwSWrA=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/gedc1041.jpg?w=660)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s72-c/Sheik-29Dec2014.jpg)
Utabiri: Mgombea Urais kufa akitafuta urais 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-g3Cdedk0SWI/VKQZHk_9wtI/AAAAAAAAAL0/CmZzCZMqeFU/s640/Sheik-29Dec2014.jpg)
Mrithi wa Mnajimu na Mtabiri wa Afrika Mashariki, Kati na Kusini, Marehemu Sheikh Yahya Hussein, Alhaj Maalim Hassan Yahya Hussein, ametabiri kwamba kiongozi mmoja mzee aliye kwenye kinyang'anyiro cha kuwania urais, atadondoka ghafla kwenye jukwaa na kufa mwakani.Amesema kiongozi huyo, ambaye hakumtaja jina, atafariki dunia baada ya tukio hilo wakati akikimbizwa hospitali.Alitangaza utabiri huo, alipozungumza na waandishi wa habari, jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kutumia kwa utabiri...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
‘Sina njaa, sigombei tena’
11 years ago
Habarileo03 Mar
Mgimwa: Sigombei kutafuta utajiri
MGOMBEA ubunge wa uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Godfrey Mgimwa, amesema hajaingia katika kinyang’anyiro hicho kwa lengo la kujitafutia utajiri. “Wapo baadhi ya wanasiasa wanatafuta nafasi hii kwa lengo la kutafuta fedha na sio kuwatumikia wananchi; naomba mniamini mimi sijaingia kwa lengo hilo,” alisema.
9 years ago
Michuzi15 Oct
RATIBA YA KAMPENI ZA MGOMBEA URAIS/MGOMBEA MWENZA KWA VYAMA VYA SIASA (KAMA ILIVYOREKEBISHWA TAREHE 15/10/2015) UCHAGUZI WA RAIS, WABUNGE NA MADIWANI, 2015
11 years ago
Mwananchi24 Mar
‘Sigombei tena, mimi sina njaa’
9 years ago
Mwananchi09 Dec
Kigoda: Sigombei ubunge kumrithi baba yangu
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Profesa Lipumba : Sigombei ubunge Temeke wala Tabora
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Hashim Rungwe: Sigombei kwenda Ikulu kupiga ‘dili’