Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkamia: Nitayafuta, kufungia magazeti

VITISHO vya watendaji wa serikali kwa vyombo vya habari vimezidi kushika kasi, safari hii Naibu Waziri wa Habari, Michezo na Utamaduni, Juma Nkamia, akitishia kuvifungia au kuvifuta. Nkamia amebainisha kuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Lowassa apinga kufungia magazeti

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge  ya Mambo ya Nje, Edward Lowassa, amesema anakerwa na tabia ya serikali kufungia magazeti na amemfunda Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo,...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Nkamia: Magazeti ya Mwananchi yanaaminiwa

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amesema magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), yanasomwa na kuaminiwa na wananchi, hivyo yaendelee kufanya kazi kwa weledi.

 

9 years ago

Mwananchi

JK: Serikali haitasita kufungia chombo cha habari

Wakati pazia la kampeni za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba likisubiri kufunguliwa kesho, Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali haitasita kufungia chombo cha habari kitakachotumia uhuru wake kuleta uchochezi na vurugu nchini.

 

9 years ago

StarTV

Wizara ya Afya yaonya kufungia biashara kudhibiti kipindupindu.

Wizara ya Afya imeonya kuwa itazifungia biashara zote zisizofuata taratibu za usafi ili kudhibiti ugonjwa wa kipindupindu ambao tayari umeathiri mikoa 16 tangu ulipuke Agosti mwaka huu.

Wizara imesema itachukua hatua hiyo ikiwemo kuvifunga vilabu vinavyouza vileo, migahawa ya chakula na mama lishe kwa lengo la kuokoa maisha ya wananchi na kutokomeza kipindupindu.

Wizara ya Afya imezungumzia hatua zinazochukuliwa sasa kupambana na kipindupindu, ugonjwa ambao tayari umepoteza maisha ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kufungia vyombo vya habari siyo utawala bora

Kauli iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia kwamba Serikali hivi karibuni itayachukulia hatua kali baadhi ya magazeti kwa madai kwamba yamekiuka maadili na kutishia usalama wa nchi, inathibitisha kwamba nchi yetu bado ina mwendo mrefu kabla ya kufikia ndoto yake ya kuwa nchi ya kidemokrasia na utawala bora.

 

9 years ago

MillardAyo

Sentensi 6 za Naibu Waziri Hamisi Kigwangalla baada ya kufungia wafanyakazi nje ya geti Dec 18.. (+Picha)

Ijumaa ya December 18 2015 inakuwa siku ya sita tangu Mawaziri na Manaibu wao walioteuliwa na Rais Magufuli waapishwe Ikulu Dar es Salaam… kwenye list ya Baraza hilo, yuko pia Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Dk. Hamisi Andrea Kigwangalla, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nzega Tabora. Nimepita kwenye ukurasa wake Instagram @hamisi_kigwangalla, ambapo […]

The post Sentensi 6 za Naibu Waziri Hamisi Kigwangalla baada ya kufungia wafanyakazi nje ya geti Dec 18.. (+Picha) appeared first on...

 

10 years ago

GPL

NKAMIA:SIGOMBEI URAIS 2015

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015 Baadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na… ...

 

10 years ago

Michuzi

SIGOMBEI URAIS 2015 NKAMIA

GEDSC DIGITAL CAMERANaibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia ambaye pia ni   Mbunge wa Kondoa Kusini ,akiongea na waandishi wa habari leo  jijini Arusha katika studio za redio 5 zenye makao yake makuu njiro ambapo alisema kuwa hana mpango wowote wakugombea nafasi ya Urais 2015GEDSC DIGITAL CAMERABaadhi ya waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa wanafanya mahojiano na Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mh. Juma Nkamia leo jijini Arusha katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Nkamia akumbuka enzi za utangazaji

Naibu Waziri wa Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia, juzi alikonga nyoyo za watu pale alipoamua kukumbushia enzi zake za kutangaza mpira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani