Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Serikali haitasita kufungia chombo cha habari

Wakati pazia la kampeni za kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba likisubiri kufunguliwa kesho, Rais Jakaya Kikwete amesema Serikali haitasita kufungia chombo cha habari kitakachotumia uhuru wake kuleta uchochezi na vurugu nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa urais Malawi: Chombo cha habari cha serikali kinasema upinzani unaongoza

Matokeo rasmi hayajatangazwa lakini chombo cha habari cha serikali kimetangaza kuwa Lazarus Chakwera anaelekea kushinda.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Sadick: Bwakata si chombo cha serikali

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick amewataka Waislamu kuondokana na dhana kuwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), ni chombo cha serikali. Amesema dhana hiyo sio...

 

10 years ago

Mwananchi

Kufungia vyombo vya habari siyo utawala bora

Kauli iliyotolewa mwishoni mwa wiki na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia kwamba Serikali hivi karibuni itayachukulia hatua kali baadhi ya magazeti kwa madai kwamba yamekiuka maadili na kutishia usalama wa nchi, inathibitisha kwamba nchi yetu bado ina mwendo mrefu kabla ya kufikia ndoto yake ya kuwa nchi ya kidemokrasia na utawala bora.

 

10 years ago

Dewji Blog

Chombo chochote kitakachokiuka maadili ya habari kukiona chamoto

IMG-20140924-WA0000

Naibu waziri wa Habari Utamaduni na Michezo Juma Nkamia akitoa hutuba yake kwenye uzinduzi wa Nembo ya radio Triple A FM na kuwataka wamiliki na wanahabari kuhakikisha wanafuata maadili ya taaluma ya uandishi wa habari iwe kazini au nje ya kazi zao.

Serikali imesisitiza kuwa haitavifumbia macho vyombo vya habari vitakavyo kiuka maadili ya habari na kuwa haitasita kuvichukulia hatua kali vyombo hivyo.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Habari vijana utamaduni na michezo Juma Nkamia...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ushirika ni chombo cha ufisadi?

USHIRIKA nchini umeandikwa na kusemwa mara nyingi katika vyombo vya habari, na karibu mara zote umeandikwa na kusemwa kwa sababu ya mambo mabaya yanayoupata na kuufanya udumae na ushindwe kuonyesha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ataka chombo cha wanawake

UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiswahili kama chombo cha mawasiliano-2

Dhima ya lugha ni kufanya yafuatayo; mosi ni ujumi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kinahitajika chombo cha usawa wa jinsia

TUME ya kusimamia haki za wanawake na usawa wa jinsia ni moja ya vyombo vya uwajibikaji vinavyowekwa kisheria vya kusimamia utekelezaji wa misingi hizi kama ilivyobainishwa katika sheria za nchi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani