Ushirika ni chombo cha ufisadi?
USHIRIKA nchini umeandikwa na kusemwa mara nyingi katika vyombo vya habari, na karibu mara zote umeandikwa na kusemwa kwa sababu ya mambo mabaya yanayoupata na kuufanya udumae na ushindwe kuonyesha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
IGP achunguza ufisadi ushirika
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Issaya Mngulu, ameunda tumu kuchunguza wizi wa sh bilioni 12 katika vyama vya msingi vya ushirika mkoani hapa. Wizi huo umekuwa ukilalamikiwa...
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-L3m8i9Xkz7E/U8_QsqV5n7I/AAAAAAAABa4/yJjia4RR-tQ/s72-c/jakaya_kikwete.jpg)
UFISADI VYAMA VYA USHIRIKA
JK: Hatutabeba mizigo ya wezi
Aagiza vigogo kufikishwa kortini harakaAonya fedha za umma sio za kuchezewa
Na Mwandishi Wetu, Tunduru
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na benki.
Amesema anataka kwanza wezi waliosababisha madeni hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
![](http://4.bp.blogspot.com/-L3m8i9Xkz7E/U8_QsqV5n7I/AAAAAAAABa4/yJjia4RR-tQ/s1600/jakaya_kikwete.jpg)
Aidha, Rais Kikwete amesema ni jambo la kusikitisha kuwa baadhi ya maofisa wa serikali hujidhalilisha kwa kujifanya mawakala wa wanunuzi binafsi...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Ufisadi wa kutisha kwenye vyama vya ushirika nchini
5 years ago
BBCSwahili26 Jun
Uchaguzi wa urais Malawi: Chombo cha habari cha serikali kinasema upinzani unaongoza
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s72-c/maj22.jpg)
WAZIRI MKUU ATEMBELEA KIWANDA CHA TUMBAKU MKOANI RUVUMA NA KUWASIMAMISHA KAZI VIONGOZI WA CHAMA CHA USHIRIKA CHA SONAMCU
![](http://2.bp.blogspot.com/-curVweAhA70/VozSh8xvBVI/AAAAAAADEiQ/jUm-M1P_Mak/s400/maj22.jpg)
Akizungumza jana jioni(Jumanne, Januari 5, 2016), katika ukumbi wa mikutano wa Ikulu Ndogo ya Songea, wakati alipokutana na wakulima wa zao la tumbaku wa Wilaya ya Namtumbo, Wananchama wa Vyama Vya Ushirika vya Mkoa wa Ruvuma, viongozi wa Mkoa pamoja na Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Edwin Ngonyani ambaye ni...
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
Ataka chombo cha wanawake
UWEPO wa chombo maalum, umetajwa kama njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume, hivyo kubaki nyuma kiuchumi na kiuongozi. Mhadhiri wa Chuo...
10 years ago
BBCSwahili24 Sep
Chombo cha India chatua Mars
10 years ago
Mwananchi09 Dec
10 years ago
Tanzania Daima16 Oct
Sadick: Bwakata si chombo cha serikali
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick amewataka Waislamu kuondokana na dhana kuwa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), ni chombo cha serikali. Amesema dhana hiyo sio...