IGP achunguza ufisadi ushirika
MKURUGENZI wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI), Issaya Mngulu, ameunda tumu kuchunguza wizi wa sh bilioni 12 katika vyama vya msingi vya ushirika mkoani hapa. Wizi huo umekuwa ukilalamikiwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper
UFISADI VYAMA VYA USHIRIKA
JK: Hatutabeba mizigo ya wezi
Aagiza vigogo kufikishwa kortini harakaAonya fedha za umma sio za kuchezewa
Na Mwandishi Wetu, Tunduru
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na benki.
Amesema anataka kwanza wezi waliosababisha madeni hayo wakamatwe na kufikishwa mbele ya vyombo vya sheria.

Aidha, Rais Kikwete amesema ni jambo la kusikitisha kuwa baadhi ya maofisa wa serikali hujidhalilisha kwa kujifanya mawakala wa wanunuzi binafsi...
11 years ago
Tanzania Daima26 Oct
Ushirika ni chombo cha ufisadi?
USHIRIKA nchini umeandikwa na kusemwa mara nyingi katika vyombo vya habari, na karibu mara zote umeandikwa na kusemwa kwa sababu ya mambo mabaya yanayoupata na kuufanya udumae na ushindwe kuonyesha...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Ufisadi wa kutisha kwenye vyama vya ushirika nchini
5 years ago
Michuzi
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA

Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.

Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
CAG achunguza ubadhirifu TPRI
TAASISI ya Utafiti wa Dawa za Mimea na Wadudu (TPRI) yenye makao makuu mkoani Arusha imekumbwa na kashfa ya ubadhirifu wa fedha zaidi ya sh milioni 317 ambazo hazijulikani matumizi...
11 years ago
Mwananchi12 May
CAG Utouh achunguza Sh200 bilioni za IPTL
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Msajili achunguza kipigo cha padri Kalenga
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imesema inachunguza tuhuma za kupigwa kwa Padri wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basil Mkuu, Constantino Mbilinyi, anayedaiwa kupigwa na wafuasi...
10 years ago
Vijimambo22 Apr
Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Aidha, imebainika pia kuwa ya...
5 years ago
MichuziDC TUNDURU AUFUNDA USHIRIKA
Ndugu Mtatiro ametoa rai hiyo leo alipokuwa akifunga mafunzo ya siku ya tatu ya vyama vya ushirika na vyama vya akiba na mikopo yaliyoandaliwa na Mrajis Msaidizi wa Vyama vya Ushirika mkoa wa Ruvuma kwa kushirikiana na Tume ya Maendeleo ya Ushirika, Shirika la Ukaguzi na usimamizi wa...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10