Msajili achunguza kipigo cha padri Kalenga
OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imesema inachunguza tuhuma za kupigwa kwa Padri wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basil Mkuu, Constantino Mbilinyi, anayedaiwa kupigwa na wafuasi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
CCM wadaiwa kumchapa padri Kalenga
KAMPENI za ubunge katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa zimeingia katika hatua mbaya baada ya Padri wa Kanisa la Orthodox katika Kijiji cha Nyamihuu, Kata ya Nzihi, jimboni humo Constantino...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wafuasi CCM wadaiwa kumpiga padri jimboni Kalenga
11 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s72-c/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-r4k8IbczM2M/UxljVIAWppI/AAAAAAACbxc/ZX0IqIzw4UU/s1600/IMG_7273.jpg)
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-hf0dTrm3o94/UxljbNqsXSI/AAAAAAACbxk/K2a69IkN1lQ/s1600/IMG_7284.jpg)
MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AZUNGUMZA NA WANAHABARI MJINI IRINGA LEO KUHUSU UCHAGUZI WA JIMBO LA KALENGA
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...