Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wafuasi CCM wadaiwa kumpiga padri jimboni Kalenga

Padri wa Makanisa ya Orthodox katika Kijiji cha Nyamihuu, Kata ya Nzihi, jimboni Kalenga Constantino Mbilinyi (36) amepigwa na kujeruhiwa na watu wanaodaiwa kuwa ni wafuasi wa CCM.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wadaiwa kumchapa padri Kalenga

KAMPENI za ubunge katika Jimbo la Kalenga, mkoani Iringa zimeingia katika hatua mbaya baada ya Padri wa Kanisa la Orthodox  katika Kijiji cha Nyamihuu, Kata ya Nzihi, jimboni humo Constantino...

 

11 years ago

GPL

KAMPENI ZA CCM JIMBONI KALENGA LEO

Wananchi wakimshangilia mgombea wa CCM, katika uchaguzi mdogo Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa, alipohutubia mkutano wa kampeni katika kijiji cha Sadani, Kata ya Mseke, leo Machi 9, 2014. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa, Joyce Msambatavangu, akihutubia mkutano wa kampeni katika Kijiji cha …

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi Ruvuma wadaiwa kumpiga risasi dereva

Polisi Mkoa wa Ruvuma imeingia matatani baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi dereva wa bodaboda, Sallgo Nduguru (22) na kumjeruhi kiganja na paja la mguu wa kushoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Msajili achunguza kipigo cha padri Kalenga

OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, imesema inachunguza tuhuma za kupigwa kwa Padri wa Kanisa la Orthodox, Parokia ya Mtakatifu Basil Mkuu, Constantino Mbilinyi, anayedaiwa kupigwa na wafuasi...

 

9 years ago

Habarileo

Wafuasi Ukawa Temeke wadaiwa kuchoma ofisi

WATU wanaodaiwa kuwa wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamechoma moto ofisi za Ofisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Temeke Mikoroshini kwa madai kuwa ofisa huyo amemtangaza mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abel Tarimo wakati hakushinda.

 

9 years ago

Michuzi

WAFUASI 60 WA CHADEMA AKIWEMO MGOMBEA UBUNGE MCHUNGAJI MSIGWA MATATANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MAWE MKUU WA FFU NA WANANCHI WALIOKUWA WAKITOKA KUMSIKILIZA DR MAGUFULI .....

 Aliyekuwa  mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akishuka katika gari la  polisi  baada ya  kufikishwa mahakamani  wakati wa vurugu za machingaji  eneo la mashine tatu  mjini Iringa mwaka  jana(picha na maktaba ya matukiodaima)
Na MatukiodaimaBlogJESHI  la polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani  Iringa watumia mabomu ya machozi kuwakamata wafuasi  zaidi ya 60  wa  chama  cha  Demokrasia  na maendeleo (chadema ) akiwemo mgombea  ubunge wao  jimbo la  Iringa...

 

11 years ago

Michuzi

KINANA ATUA KALENGA LEO,AMNADI MGOMBEA UBUNGE WA CCM JIMBO LA KALENGA KWA KISHINDO

 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana pichani kushoto na Naibu Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Mwigulu Nchemba wakimnadi mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kupitia chama hicho cha CCM,Ndugu Godfreya Mgimwa,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni za lala salama,uliofanyika leo jioni katika kijiji cha Magulilwa kata ya Magulilwa,Iringa vijijini.
Kinana amewataka wakazi wa Kalenga kumpigia kura za kutosha na hatimae kuibuka mshindi kwa maendeleo ya jimbo hilo,hapo siku ya jumapili ambapo...

 

11 years ago

Michuzi

mbunge wa kalenga mhe godfrey mgimwa atembelea wapiga kura jimboni kwa baiskeli

Mbunge  wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa akiwa katika usafiri wa Baiskeli akienda kutembelea wapiga kura wake kata ya Ifunda eneo la Kivalali  Wananchi wa Kivalali kata ya Ifunda  wakijiandaa kupeana mikono na mbunge Mgimwa  Mbunge Mgimwa akisalimiana na wanakikundi cha burudani Kivalali kata ya Ifunda

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani