Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WAFUASI 60 WA CHADEMA AKIWEMO MGOMBEA UBUNGE MCHUNGAJI MSIGWA MATATANI KWA TUHUMA ZA KUMPIGA MAWE MKUU WA FFU NA WANANCHI WALIOKUWA WAKITOKA KUMSIKILIZA DR MAGUFULI .....

 Aliyekuwa  mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akishuka katika gari la  polisi  baada ya  kufikishwa mahakamani  wakati wa vurugu za machingaji  eneo la mashine tatu  mjini Iringa mwaka  jana(picha na maktaba ya matukiodaima)
Na MatukiodaimaBlogJESHI  la polisi kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) mkoani  Iringa watumia mabomu ya machozi kuwakamata wafuasi  zaidi ya 60  wa  chama  cha  Demokrasia  na maendeleo (chadema ) akiwemo mgombea  ubunge wao  jimbo la  Iringa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WATU 9 WAJERUHIWA KATIKA VURUGU KATI YA MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA MBEYA MJINI NA WAFUASI WA CCM

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chadema Jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi akiwa sambamba na dereva wake akibishana na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi baada ya kuvamia eneo lao la mkutano wa kampeni za Ubunge katika kata ya Ghana.Vijana wa boda boda wanaomuunga mkono Joseph Mbilinyi wakizuiliwa na Green Guard wa CCM. Baadhi ya viongozi wa CCM wakimsihi Joseph Mbilinyi kutoendelea na safari yake na badala yake ageuze lakini bado aliendelea na maamuzi yake.Wanachama wa CCM waliokuwa kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

DK.TULIA ATOA NENO KUHUSU FEDHA ALIZOTOA RAIS MAGUFULI ILI KUMTOA GEREZANI MCHUNGAJI PETER MSIGWA WA CHADEMA


Na Said Mwishehe, Michuzi Blogu ya jamii

NAIBU Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson ameamua kutoa maoni yake kwenye mjadala unaoendelea baada ya Rais Dk.John Magufuli kutoa fedha Sh.milioni 38 kwa ajili ya kumsaidia Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa ili atolewe gerezani baada ya kuhumiwa miezi mitano jela au kulipa faini ya Sh.milioni 40.

Amesema kilichofanywa na Rais Magufuli kwa Mchungaji Msigwa ni jambo jema na wakati mwingine watu huwa wanafikiri viongozi hawana ile hisia za kawaida,...

 

10 years ago

Michuzi

MWENYEKITI WA BAVICHA AMVAA MCHUNGAJI MSIGWA UBUNGE IRINGA MJINI

MWENYEKITI wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha), Leonce Marto amechukua fomu ya kuwania ubunge katika jimbo la Iringa kupitia chama chake hicho.Amechukua fomu hiyo siku moja tu baada ya Rais Jakaya Kikwete kulihutubia  bunge la 10 la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ambalo uhai wake utakoma Agosti 20, mwaka huu.Katika kipindi cha miaka mitano iliyopita, jimbo la Iringa Mjini limekuwa likiongozwa na Mchungaji Peter Msigwa ambaye pia alichaguliwa kupitia Chadema...

 

9 years ago

Vijimambo

MGOMBEA UBUNGE JIMBO LA CHUMBUNI KWA TIKETI YA CCM AWATAKA WANANCHI KUJIANDAA NA MAENDELEO



Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chumbuni Perera Ame Silima akizungumza na Wananchi wa Jimbo la Chumbuni wakati wa mkutano wa Kampeni wa jimbo hilon uliofanyika katika viwanja vya mpira Bamata Kwamtipura Unguja akimuombea Kura Mbunge wa Jimbo hilo Ussi Salum Pondeza AMJADI na Mwakilishi Miraji Kwaza kwa Wananchi wa Chumbuni. Viongozi wa CCM Wilaya ya Amani Unguja wakimsikiliza aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo Mhe Perera Ame Silima akiwahutubia wananchi wa Jimbo la Chumbuni katika mkutano wa...

 

9 years ago

Michuzi

CHIKU ABWAO: HERI YA MONICA MBEGA WA CCM KULIKO MCHUNGAJI MSIGWA WA CHADEMA NAOMBA NICHAGUENI MIMI SAFARI HII

MGOMBEA  Ubunge wa jimbo la Iringa Mjini kupitia ACT Wazalendo Bi Chiku Abwao(pichani) amesema heri ya miaka mitano ya aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo Mobica Mbega ( CCM) kuliko miaka mitano ya Mchungaji Peter Msigwa ( Chadema)hivyo ametawa mwaka huu wananchi kumchagua yeye
Akizungumza katika mkutano wake wa kampeni za Ubunge jana  kata ya Kihesa alisema iwapo atakuwa mbunge wao atahakikisha anakuwa mbunge wa mfano wa kuwaletea maendeleo sahihi.
Kwani alisema kuwa historia ya jimbo hilo...

 

9 years ago

Vijimambo

UPDATES: MGOMBEA UBUNGE WA CHADEMA KATIKA JIMBO LA SHINYANGA MJINI INASEMEKANA AMETEKWA NA KUNYANG’ANYWA FOMU YA UBUNGE

Kwa taarifa za mwanzo zunasena kuwa mgombea ubunge jimbo la Shinyanga mjini na m/kiti BAVICHA Taifa, ndugu Patrobas Katambi inasemekana ametekwa muda mfupi uliopita na watu wasiojulikana na kunyang'anywa fomu zake za ubunge.
Chanzo chetu kilijaribu kuzungumza na mwenezi wa jimbo hilo ili kuthibitisha tukio hilo lakini pia simu ya mgombea ilikuwa haipatikani.
Chanzo chetu kimeongea na Mbunge Rachel Mashishanga sasa hivi na kuthibitisha tukio hilo.

Endelea kutufuatilia kwa taarifa zaidi

Chanzo:...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI ALITIKISA JIJI LA TANGA, WANANCHI WAFURIKA VIWANJA VYA TANGAMANO KUMSIKILIZA‏

Mgombea Urais wa jamhuri ya Muungano ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Dr. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Tangamano mjini Tanga leo, Dr. Magufuli amewaomba wananchi wa Tanga kumpigia kura za ndiyo ili aweze kufanya kazi na kulitumikia taifa yeye kwake ni Kazi tu kwani hata biblia inasema asiyefanya kazi na asile, Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani...

 

9 years ago

Habarileo

Mgombea Chadema matatani tukio la kupigwa chupa askari

JESHI la Polisi mkoani hapa linamshikilia mgombea ubunge wa Jimbo la Dodoma, Benson Kigaila (Chadema) na wenzake 10 kwa tuhuma za kufanya vurugu na kumpiga askari polisi kwa chupa kichwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani