Polisi Ruvuma wadaiwa kumpiga risasi dereva
Polisi Mkoa wa Ruvuma imeingia matatani baada ya askari wake kudaiwa kumpiga risasi dereva wa bodaboda, Sallgo Nduguru (22) na kumjeruhi kiganja na paja la mguu wa kushoto.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sGeqV*sT8d3guRa1Pnna4hn9FJUY9ax6O7cA7MD9bPVVNip8TXVwSM5bIh8VSDXSiZCp1JSxYqPpbQpASX6QrboC2O9jVvm-/JustinBieber.jpg)
JUSTIN BIEBER ASHTAKIWA KWA KUMPIGA DEREVA
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wafuasi CCM wadaiwa kumpiga padri jimboni Kalenga
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Hakimu mbaroni kwa kumpiga mtu risasi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200324-WA0002.jpg)
MBEYA: JESHI LA POLISI LAMSHIKILIA DEREVA WA BASI LA RAHABU KWA KUSABABISHA KIFO CHA DEREVA WA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NOEPf2lvTAk/Xnnxaw3mMKI/AAAAAAALk6Q/hdUMqFjdEAYrsPSG1XRxBmhRmABwKv1eACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200324-WA0002.jpg)
JESHI la Polisi mkoani Mbeya linamshikilia Dereva AYOUB BALENZI MWANDWANGWA [36] Mkazi wa Ilomba Jijini Mbeya ambaye ni Dereva wa Basi la RAHABU linalofanya Safari zake kati ya Mbeya – Ifakara Morogoro kwa kosa la kusababisha vifo kwa dereva wa Bajaji ambaye bado hajafahamika jina na abiria wake aitwaye ESTER MBOJE [35] Mkazi wa Ilemi.Ni kwamba mnamo tarehe 24/03/2020 majira ya saa 06:15 asubuhi huko Ilomba, Kata ya Ilomba,...
10 years ago
CloudsFM16 Jul
Young Thug akamatwa kwa kosa la kutishia kumpiga mtu risasi.
Rapper kutoka Atlanta, Young Thug amewekwa chini ya ulinzi mapema siku ya jana huko Sandy Springs, Georgia baada ya kutishia kumpiga risasi mlinzi wa mall.
July 7, Jeffrey Williams au Young Thug alifanya vurugu kwenye mall hiyo “ upscale Perimeter Mall” ambapo alitishia kumpiga risasi ya uso mlinzi aliyekua akimtoa nje.
Young thug ni mmoja ya wasanii watakovaa steji ya tuzo za “MTV MAMA” Jumamosi hii.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND0cmacKRHmmAyWrvced7lmawpDluvekoMcOVxxEZl5bopGTPxjfIhh9lskp-X75UXoMla8GUC*L3XAF-ojVnXg*/UTINGO.jpg)
DEREVA, UTINGO WADAIWA KUCHOMA MOTO GARI
10 years ago
Habarileo03 Feb
Dereva wa OCD ajiua kwa risasi
ASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Dereva wa OCD wilaya ya Manyoni ajipiga risasi na kufariki
Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa OCD wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Aloyce Alibinus amefariki dunia papo hapo baada ya kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
Akizungumza kwa njia ya simu, OCD wilaya ya Manyoni ASSP, Alute Yusufu Makita,amesema tukio hilo limetokea jana februari mbili saa tano asubuhi Manyoni mjini.
Akifafanua alisema kuwa asubuhi ya jana dereva wake bila yeye kujua alikwenda kwenye ghala la kutunzia silaha na kuomba bunduki kwa madai kuwa wanaenda na bosi wake...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFVDIa4BxPftMl2sFO-chwj5l*feRqMToTavTkfsI9IkMy6WO8Hv7lFoOeOXZNFcLZ7rv8*o9KxN1iCVgB-5ehC6/Derevaz.jpg?width=650)
DEREVA ALIYEUAWA KWA RISASI NA BOSI WAKE, ALIYESHUHUDIA ATOBOA SIRI