DEREVA, UTINGO WADAIWA KUCHOMA MOTO GARI
![](http://api.ning.com:80/files/QsQ1m7RyND0cmacKRHmmAyWrvced7lmawpDluvekoMcOVxxEZl5bopGTPxjfIhh9lskp-X75UXoMla8GUC*L3XAF-ojVnXg*/UTINGO.jpg)
Stori: Francis Godwin, Iringa Kumbe! Siri imefichuka sababu ya malori ya mizigo na mafuta kuungua moto baada ya jeshi la polisi mkoani hapa kuwashikilia watu sita akiwemo dereva na utingo wa lori aina ya Scania, mali ya Kampuni ya Dandu wakidaiwa kuchoma moto lori hilo. Dereva na utingo wa lori aina ya Scania, mali ya Kampuni ya Dandu wakidaiwa kuchoma moto lori hilo. Ilidaiwa kwamba jamaa hao wakazi wa Mbeya walifanya hivyo...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo29 Oct
Wafuasi Ukawa Temeke wadaiwa kuchoma ofisi
WATU wanaodaiwa kuwa wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamechoma moto ofisi za Ofisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Temeke Mikoroshini kwa madai kuwa ofisa huyo amemtangaza mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abel Tarimo wakati hakushinda.
11 years ago
Michuzi03 Jun
MAJANGA TENA IRINGA: DEREVA NA UTINGO WAJIIBIA MALI WALIZOKUWA WAKISAFIRISHA KWENDA KONGO,WACHOMA LORI LILILOKUWA NA MZIGO HUO
10 years ago
Mwananchi28 Aug
Polisi Ruvuma wadaiwa kumpiga risasi dereva
11 years ago
MichuziMTOTO AUA WAZAZI WAKE WAWILI NA KUCHOMA MOTO NYUMBA MKOANI KILIMANJARO
WANANDOA wawili wameuawa kinyama baada ya mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Yusuf Njau (32), anayeaminika kuwa ni mtoto wa wanandoa hao, kuwacharanga kwa shoka kisha kuchoma moto nyumba yao na kutokomea kusiko julikana. Tukio hilo la kusikitisha na la aina yake limetokea juzi majira ya saa 12:30 jioni katika kijiji cha Masama-Roo, Kata ya Machame Mashariki, wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro baada ya kijana huyo kuchukua uamuzi huo ambao unadhaniwa ni sababu...
11 years ago
Habarileo17 Jan
Gari lamshinda dereva, lamuua
DEREVA wa lori, Said Bakari amekufa papo hapo na utingo wake kujeruhiwa vibaya baada ya gari alilokuwa akiendesha kumshinda na kuacha njia na kisha kupinduka.
11 years ago
MichuziDEREVA AJERUHIWA NA KUPORWA GARI LA MAFUTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-uZt9kHQIoaw/U4C4HN15zmI/AAAAAAAFkxc/rJWawTU-XEU/s1600/aporwa+gari2+(2).jpg)
11 years ago
BBCSwahili02 Jul
Aokoa dereva kwa kukunja mlango wa gari
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rf021BwezXHd3jkuJyILN-6lhzH-MrUq3WjzN6BKpDfQUQFTgmRo9RSxoaYACLEuMF7EXym0lbRca1HXB54J*S1yKnbxkiK3/unnamed100.jpg?width=650)
GARI LAPINDUKA WAKATI DEREVA AKIWAKIMBIA ASKARI POLISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9OHZWcwyRASpw4h96jXJiVAdBwIB8jQ8ydX*qqWHCW7xTlpYbD2lUAlX*LTC2FHRNaeGAH51FzotJwgUy7ZHaKRyhLdSHQo1/ajali1.jpg?width=650)
BODABODA YAGONGANA NA GARI, DEREVA AVUNJIKA MGUU MORO