Dereva wa OCD wilaya ya Manyoni ajipiga risasi na kufariki
Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa OCD wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Aloyce Alibinus amefariki dunia papo hapo baada ya kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
Akizungumza kwa njia ya simu, OCD wilaya ya Manyoni ASSP, Alute Yusufu Makita,amesema tukio hilo limetokea jana februari mbili saa tano asubuhi Manyoni mjini.
Akifafanua alisema kuwa asubuhi ya jana dereva wake bila yeye kujua alikwenda kwenye ghala la kutunzia silaha na kuomba bunduki kwa madai kuwa wanaenda na bosi wake...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo03 Feb
Dereva wa OCD ajiua kwa risasi
ASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyi9Tv9eQ37z0qwMBGT02r0u6uW-z*LiGtKqN3i8yIWkVdtgrFpEjqAKx0CZ*4UaFXkpglxVcVeu-7EN-lwnti5M/ASKARI.jpg?width=600)
DEREVA WA MKUU WA WILAYA MANYONI,SINGIDA AJIUA
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Msanii mchimba madini ajipiga risasi
MSANII wa Bongo fleva na mchimbaji madini wa Kampuni ya Tanzanite One katika mji mdogo wa Mirerani, Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Moses Komba (28), amenusurika kufa kwa kujipiga risasi...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-iOmOc90UA08/VE3hesyN_-I/AAAAAAAAYX0/omTJwfQfQ04/s72-c/timothy.jpg)
MROKI AJIPIGA RISASI NA KUFA ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-iOmOc90UA08/VE3hesyN_-I/AAAAAAAAYX0/omTJwfQfQ04/s1600/timothy.jpg)
MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo la Shams, jijini hapa.
Kisa cha kujiua kwake kimetajwa ni kusababisha ajali, baada ya kuligonga gari jingine katika eneo la Mbauda wakati akitokea katika makazi yake yaliyopo eneo la Kwa Mrombo, jijini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LB6l9Yyl8LBthXV2sose3tCmqcnxZT7wsZhcpYc8Hb7GyiNGYyrQZjeGcWQXs5jZQ-OgGTEiPSeCGPQq*qfI*v0FfP*7dKs3/timothy.jpg?width=400)
MFANYABIASHARA AJIPIGA RISASI NA KUFA ARUSHA
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mroki ajipiga risasi na kufa jijini Arusha
MFANYABIASHARA wa Arusha anayemiliki kampuni ya Tanzania Bush Camp yenye kambi za watalii katika hifadhi za Serengeti mkoani Mara na Manyara iliyopo katika mikoa ya Arusha na Manyara, Timoth Mroki (36) amejiua kwa kujipiga risasi tatu kifuani akiwa katika baa maarufu ya Arusha Raha iliyopo la Shams, jijini hapa.
Kisa cha kujiua kwake kimetajwa ni kusababisha ajali, baada ya kuligonga gari jingine katika eneo la Mbauda wakati akitokea katika makazi yake yaliyopo eneo la Kwa Mrombo, jijini...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
NYANZA: Ajipiga risasi, aacha ujumbe kwa baba mkwe
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-9jWb-jmYF1Q/VLY7Xs-kqMI/AAAAAAAAe4M/XHMKTG9LzBE/s72-c/F1.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA,DEREVA ANUSURIKA KUFARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9jWb-jmYF1Q/VLY7Xs-kqMI/AAAAAAAAe4M/XHMKTG9LzBE/s640/F1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-QDs4-YX8maY/VLY7XiEg0YI/AAAAAAAAe4Q/FhnLuWmSdCM/s640/F2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Jeh2owPHYA/VLY7XnOfGiI/AAAAAAAAe4E/txPDR5wouag/s640/F3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-ej26WiO-MjQ/VLY7Y4vFtaI/AAAAAAAAe4c/XIFzG_agSUg/s640/F4.jpg)
Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.
9 years ago
StarTV29 Dec
Mwanasoka Alfredo apigwa risasi na kufariki
Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya soka ya El Salvador Alfredo Pacheco ameuawa kwa kupigwa risasi.
Taarifa zilizotolewa na serikali za El Salvador zinabainisha kuwa Pacheco amekutwa na mkasa huo baada ya mtu mmoja kumfyatulia risasi akiwa kwenye kituo cha mafuta katika mji wa Santa Ana, ambao upo umbali wa kilometa 76 Magharibi mwa mji wa San Salvador.
Uongozi wa jeshi la Polisi umesema watu kadhaa wamejeruhiwa katika shambulizi hilo dhidi ya Mlinzi huyo wa zamani wa El Salvador ambaye...