DEREVA WA MKUU WA WILAYA MANYONI,SINGIDA AJIUA
![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyi9Tv9eQ37z0qwMBGT02r0u6uW-z*LiGtKqN3i8yIWkVdtgrFpEjqAKx0CZ*4UaFXkpglxVcVeu-7EN-lwnti5M/ASKARI.jpg?width=600)
Muonekano wa Dereva huyo baada ya kujipiga risasi. Dereva wa Mkuu wa Wilaya Manyoni, Singida amejiua kwa kujipiga risasi kichwani leo, chanzo bado hakijajulikana japo ameacha ujumbe kuwa asilaumiwe mtu. Mtandao huu ulimpigia simu Mkuu wa Polisi Mkoa wa Singida ACP Geofrey Kamwela alisema amesikia tukio hilo lakini hakuwa na uhakika. "Naomba mnitafute baadaye nitakuwa na maelezo ya tukio hilo,"… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Dereva wa OCD wilaya ya Manyoni ajipiga risasi na kufariki
Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa OCD wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Aloyce Alibinus amefariki dunia papo hapo baada ya kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
Akizungumza kwa njia ya simu, OCD wilaya ya Manyoni ASSP, Alute Yusufu Makita,amesema tukio hilo limetokea jana februari mbili saa tano asubuhi Manyoni mjini.
Akifafanua alisema kuwa asubuhi ya jana dereva wake bila yeye kujua alikwenda kwenye ghala la kutunzia silaha na kuomba bunduki kwa madai kuwa wanaenda na bosi wake...
5 years ago
MichuziWILAYA YA MANYONI MKOANI SINGIDA WAPELEKEWA ELIMU KUJIKINGA VIRUSI VYA COVID-19
10 years ago
Habarileo03 Feb
Dereva wa OCD ajiua kwa risasi
ASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
5 years ago
MichuziRC SINGIDA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MANYONI
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Dk. Magufuli akagua barabara yenye urefu wa km 89, Manyoni-Itigi Mkoani Singida
Na Nathaniel Limu, Itigi
Waziri wa ujenzi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli, amewakumbusha wafanya biashara wanaosafirisha/mizigo kwa kutumia barabara, wahakikishe wanazingatia uzito uliowekwa kisheria, ili barabara zinazojengwa kwa gharama...
5 years ago
MichuziPOLISI SINGIDA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZA WATU 14 KUUAWA WILAYANI MANYONI
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s72-c/20140630_111320.jpg)
Ziara ya naibu waziri maji Mhe Amos Makalla wilaya ya manyoni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FiBR9DcjfH4/U7JnIMT8hmI/AAAAAAAFt48/RNNjV52OSQs/s1600/20140630_111320.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9zoLqFo2brM/U7JnKAn74UI/AAAAAAAFt5I/NgkYqVholIQ/s1600/20140630_120613.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-vc7K4ehE6sE/U7JnJmVDQKI/AAAAAAAFt5E/55tJ_W_LWII/s1600/20140630_160656.jpg)
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Ajali yaua 12 singida, dereva atoweka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nd24W9ECLPMEFP--Tvw-ohKZgI3umtPQcDDiH1AWhfNxjFRpC8YgKAW*VPC324Jvw8dWFVlcchRFQG31zXFf9cwz3WcxjB40/IMG20140909WA0003.jpg)
AJALI YA LORI YAUA DEREVA SEKENKE, SINGIDA