POLISI SINGIDA YAWATAKA WANANCHI KUPUUZA TAARIFA ZA WATU 14 KUUAWA WILAYANI MANYONI
Na Ismail Luhamba,Singida JESHI la Polisi Mkoa wa Singida limewataka wananchi kupuuza habari zinazozagaa mitandaoni zinazodaiwa watu 14 wamekufa kwa kuchinjwa wilayani Manyoni.Akizungumza na Waandishi wa habari mjini hapa, Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ASP) Sweetbert Njewike amesema taarifa iliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini , Godbless Lema ni ya uongo yenye lengo la kuleta taharuki kwa wananchi.‘’ Lema alitoa taarifa hiyo wakati akitoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC SINGIDA AKAGUA NA KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI MANYONI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KAMANDA WA POLISI MORO AKANUSHA WATU WATATU KUUAWA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s72-c/IMG-20140802-WA0008.jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KANDA MAALUM: ASKARI POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKUWA ANATAPELI WANANCHI AKAMATWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-D7aBEz9MuL8/U9_aEPYUiaI/AAAAAAAF9G0/M2R0rh4cXiU/s1600/IMG-20140802-WA0008.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-kD77rECHH3Y/U9_aIYYQvLI/AAAAAAAF9G8/E7ptUtKJJIw/s1600/IMG-20140802-WA0009.jpg)
10 years ago
StarTV08 Jan
Polisi Singida yatoa taarifa ya uchunguzi wa bomu.
Na Emmanuael Michael,
Singida.
Polisi Mkoani Singida imetoa taarifa rasmi juu ya uchunguzi wa mlipuko unaosadikiwa kuwa ni bomu la kutengenezwa kienyeji, uliotokea hivi karibuni nyumbani kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Iramba Halima Mpita na kusababisha madhara na hofu kubwa.
Uchunguzi huo wa mtaalamu wa milipuko kutoka Jeshi la Wananchi JWTZ Jijini Arusha umebaini kuwa, ingawa lengo lilikuwa kufanya mauaji lakini utengezaji wake haukukamilika vyema wala kufikia hatua...
9 years ago
StarTV15 Sep
 Watanzania wahimizwa kupuuza taarifa za uzushi zitolewazo na vyama pinzani.
Katika harakati za kuahakikisha Chama cha mapinduzi kinaingia madarakani kwakumwaga sera zao pamoja na kutoa vipaumbele mbalimbali chama hicho kimeonyesha kupuuzia taarifa zinazoenezwa na baadhi ya vyama vya kisiasa hapa nchini wakati wakiwa katika harakati za kutafuta kura
Chama hicho cha mapinduzi kimewahimiza Watanzania kutoshawishiwa na baadhi ya wanasiasa wanaodaiwa kueneza taarifa zisizo na misingi yoyote kwa taifa.
Katika kampeni za kunadi sera za chama hicho Mkoani Tabora CCM...
9 years ago
StarTV04 Nov
 Polisi yaomba wananchi kutoa taarifa kwa dola
Jeshi la Polisi nchini limewaomba wananchi kutoa taarifa katika vyombo vya Dola pindi wanapoona dalili za uvunjifu wa amani katika maeneo yote ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kauli hiyo imetolewa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi nchini CP. Paul Chagonja alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es salaam.
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo, CP Paul Chagonja anaanza kwa kuwapongeza wananchi na wadau wote wa usalama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2xPSDbl5pyi9Tv9eQ37z0qwMBGT02r0u6uW-z*LiGtKqN3i8yIWkVdtgrFpEjqAKx0CZ*4UaFXkpglxVcVeu-7EN-lwnti5M/ASKARI.jpg?width=600)
DEREVA WA MKUU WA WILAYA MANYONI,SINGIDA AJIUA
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI SINGIDA LAWEKA ULINZI MASAA 24 KUZUIA WATU KUPITA KATIKA MAZIWA YALIYOUNGANA
Askari polisi wakiwa katika barabara ya Mwaja iliyofungwa baada ya maji kujaa kufuatia maziwa mawili kuungana kutokana na mafuriko.
Ulinzi ukiimarishwa.
Ulinzi ukiimarishwa.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.
Na Ismail Luhamba, Singida
MAZIWA ya Kindai na SingidaMunangi yamegeuka na kuwa kivutio kikubwa Mkoani wa Singida na Mikoa ya jirani baada ya maziwa hayo kujaa maji na kuungana kufutia mvua kubwa inayonyesha mkoani humo.
Baada historia kujirudia kwa maziwa haya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxyGTZ*9cfknS7YDBWjPYlPD8HIWK0URq5R1QpM7Bf0hn6NGFlfmkHy9qg74sId9wOd4Zq8bB1bDqgW9tRR3dT-Y/makalla.jpg?width=650)
ZIARA YA NAIBU WAZIRI WA MAJI MHE. AMOS MAKALLA WILAYANI MANYONI