AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA,DEREVA ANUSURIKA KUFARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-9jWb-jmYF1Q/VLY7Xs-kqMI/AAAAAAAAe4M/XHMKTG9LzBE/s72-c/F1.jpg)
Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongana na Basi la Meridian
Wasamaria wema wakinasua dereva wa gari ndogo
Dereva wa Gari ndogo akiwa haamini kama ameponaAjali hii imehusisha basi la abiria la Meridiani pamoja na gari ndogo binafsi.Dereva wa gari binafsi amenusurika kifo baada ya gari yake kuharibika vibaya.
Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s72-c/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA VWAWA MBOZI LEO MCHANA YAUA DEREVA WA NSSF NA MENEJA WAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-RQI_zqxrGpM/VFzX_9fYqrI/AAAAAAAAxLU/hGQ_OUsnpfQ/s640/10734151_844921828862033_7645623793860367259_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-p0L5ZuWKpmc/VFzcWhc0cdI/AAAAAAAAxLw/clknRnZnRxU/s640/Picture%2B010.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-msJ92l7OCtY/VFzYAbkVLnI/AAAAAAAAxLY/QIwKV3vtGYg/s640/10345822_844923002195249_7414716207742340801_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-T0ROCiOHwog/VFzX_y3l6qI/AAAAAAAAxLc/i7p1rec0_T8/s640/1555522_844922322195317_297298873858181563_n-1.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Zf7js0lkpBorIhKqKTZEDcO-VOXuivNQyM5aYXrV66531UOA*II2z2Kyw8ICb0wj*p-9sW6044jHl*RnpSrs*gGYizrjjVnV/AIRBUS.jpg)
AJALI MBAYA YATOKEA GAIRO
10 years ago
GPLDEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI
10 years ago
MichuziBreaking nyuzzz....: Ajali mbaya yatokea jijimi Arusha leo,yapoteza maisha ya watu zaidi ya 9
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s72-c/IMG-20140908-WA0003.jpg)
Breaking Nyuzzzzzzz....: ajali nyingine mbaya yatokea Gairo mchana huu,zaidi ya watu 8 wanasadikiwa kupoteza maisha
![](http://2.bp.blogspot.com/--1AN2it1bgk/VA19GaKKhpI/AAAAAAAGhrQ/Qw2WoStN_rw/s1600/IMG-20140908-WA0003.jpg)
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
10 years ago
CloudsFM20 Mar
Ajari mbaya yatokea Mbeya
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Dereva wa OCD wilaya ya Manyoni ajipiga risasi na kufariki
Na Nathaniel Limu, Singida
DEREVA wa OCD wilaya ya Manyoni mkoa wa Singida,Aloyce Alibinus amefariki dunia papo hapo baada ya kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
Akizungumza kwa njia ya simu, OCD wilaya ya Manyoni ASSP, Alute Yusufu Makita,amesema tukio hilo limetokea jana februari mbili saa tano asubuhi Manyoni mjini.
Akifafanua alisema kuwa asubuhi ya jana dereva wake bila yeye kujua alikwenda kwenye ghala la kutunzia silaha na kuomba bunduki kwa madai kuwa wanaenda na bosi wake...
10 years ago
GPLDEREVA PIKIPIKI ANUSURIKA KIFO MSIMBAZI CENTRE, DAR