Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya gari ndogo na mwendesha bodaboda. Pikipiki ikiwa imelazwa pembeni ya barabara.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR

Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…

 

10 years ago

GPL

KICHANGA CHANUSURIKA KUFA KWA AJALI YA BODABODA DAR

Sehemu ya uso alipoumia mtoto huyo.…

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KUFA BAADA YA KUGONGWA NA BODABODA

Polisi akizungumza jambo katikati ya mashuhuda wa ajali hiyo. Kundi la watu likiwa limemzunguka mwanamke aliyegongwa na bodaboda (haonekani).  Kushoto (mwenye bodaboda akiwa na shati jeupe) ni mtu aliyemgonga mwanamke huyo. Na Gabriel Ng’osha/GPL  MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika amenusurika katika ajali  baada ya kugongwa  na bodaboda  (pikipiki) maeneo ya Ubungo mnamo saa… ...

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA BODABODA APATA AJALI

 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali iliyotokea Barabara ya Kilwa eneo la Mivinjeni Dar es Salaam jana iliyohisishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS kumgonga mwendesha Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY akitokea upande wa JKT na Dereva wa Gari hilo akijaribu kukatiza marabara eneo hilo la ajali kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wasamaria wema wakijaribu kumbeba na kumuingiza katika Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS Dereva...

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA WA BODABODA APATA AJALI

 Wananchi eneo la Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam wakimwangalia Dereva wa Bodaboda aliyepata ajali ambapo chanzo Cha ajali hakikiweza kupatikana mara moja. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI MBAYA YATOKEA MAENEO YA MKATA,DEREVA ANUSURIKA KUFARIKI

Gari ndogo ikiwa imeharibika vibaya baada ya kugongana na Basi la MeridianWasamaria wema wakinasua dereva wa gari ndogo
Dereva wa Gari ndogo akiwa haamini kama ameponaAjali hii imehusisha basi la abiria la Meridiani pamoja na gari ndogo binafsi.Dereva wa gari binafsi amenusurika kifo baada ya gari yake kuharibika vibaya.
Ajali hii imetokea maeneo ya Mkata barabara ya kwenda mikoa ya Kaskazini.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbaroni Katavi kwa kumuua dereva wa Bodaboda

POLIISI wilayani Mpanda, Katavi linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kumuua dereva wa pikipiki ‘Bodabodai, Frank Joseph (25), mkazi wa mtaa wa Nsemlwa kwa kumchinja shigo na kisha kumpora pikipiki...

 

11 years ago

Habarileo

Mbaroni kwa kudaiwa kumuua dereva bodaboda

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariPOLISI mkoani Katavi inawashikilia watu watatu wakituhumiwa kumuua kikatili kwa kumchinja dereva wa pikipiki ‘bodaboda’ Frank Joseph (25) mkazi wa Mtaa wa Nsemulwa mjini Mpanda kisha kumpora pikipiki yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani