Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DEREVA WA BODABODA APATA AJALI

 Wananchi eneo la Msimbazi Centre Jijini Dar es Salaam wakimwangalia Dereva wa Bodaboda aliyepata ajali ambapo chanzo Cha ajali hakikiweza kupatikana mara moja. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)

CCM Blog

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

DEREVA BODABODA APATA AJALI

 Askari wa Usalama Barabarani akipima ajali iliyotokea Barabara ya Kilwa eneo la Mivinjeni Dar es Salaam jana iliyohisishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS kumgonga mwendesha Pikipiki yenye namba za Usajili  MC 919 CKY akitokea upande wa JKT na Dereva wa Gari hilo akijaribu kukatiza marabara eneo hilo la ajali kwa mujibu wa mashuhuda eneo la tukio. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Wasamaria wema wakijaribu kumbeba na kumuingiza katika Gari lenye Namba za Usajili T 146 ACS Dereva...

 

5 years ago

CCM Blog

DEREVA WA GUTA APATA AJALI

Wananchi wakishuhudia Askari akipima Ajali eneo la Kagera Jijini Dar es Salaam jana Baada ya Mwendesha Guta kupata ajali jana Mei 9, 2020 iliyohusishwa na Gari lenye Namba za Usajili T 735 DJY.  
 Wasamaria wema katika eneo la Gegera Jijini Dar es Salaam wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya Dereva wa guta kugongwa eneo hilo nakukimbizwa Hospitali.
 Wasamaria wema wakisaidia kutoa Miwa chini ya Gari lenye namba za usajili T 735 DJY Baada ya mwendesha...

 

10 years ago

GPL

DEREVA WA BODABODA ANUSURIKA KUFA KWA AJALI

Baadhi ya watu wakishuhudia ajali ya gari ndogo na mwendesha bodaboda. Pikipiki ikiwa imelazwa pembeni ya barabara.…

 

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

10 years ago

Mwananchi

Dereva bodaboda auawa kinyama

Watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya dereva wa bodaboda, Omari Shaaban (32) na kumuua kisha kuichoma moto, katika tukio linalohusishwa na visa na wivu wa mapenzi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dereva wa bodaboda afa ajalini

DEREVA wa pikipiki, maarufi kama bodaboda, Abdul Mikidadi (33), mkazi wa Kunduchi, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kumgonga mbwa na kupoteza uelekeo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni,...

 

11 years ago

GPL

POLISI AKOMAA NA DEREVA BODABODA

Askari Polisi akimnyang'anya ufunguo mwendesha bodaboda aliyekuwa amembeba abiria asiye na kofia ngumu 'helmet' eneo la Ubungo Mataa jijini Dar es Salaam jambo ambalo ni hatari kutokana na msongamano mkubwa wa magari eneo hilo. (PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)

 

10 years ago

GPL

DEREVA BODABODA ANASWA AKISOMA CHAMPIONI

Mdau wa Bodaboda akipitia nyuzzz  katika gazeti la Championi wakati akiendelea kusubiri abiria katika kituo chake cha kazi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Dereva bodaboda atuhumiwa kumtorosha mwanafunzi

DEREVA wa pikipiki (bodaboda) Emanuel Kahemela aliyehukumiwa kifungo cha uangalizi kwa mwaka mmoja nje katika  kesi ya kubaka kwa kuishi na binti (jina linahifadhiwa) mwanafunzi wa kidato cha pili katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani