Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dereva bodaboda auawa kinyama

Watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya dereva wa bodaboda, Omari Shaaban (32) na kumuua kisha kuichoma moto, katika tukio linalohusishwa na visa na wivu wa mapenzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.

 

11 years ago

Habarileo

Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili

WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke auawa kinyama

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Auawa kinyama

>Watu wasiofahamika wamemuua mkazi wa Kijiji cha Vikonge Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi,  Kitola Jeremia (45) kwa kumkatwa mapanga sehemu za mwili wake sambamba na kumtoboa tumbo .

 

10 years ago

Habarileo

Auawa kinyama na kutenganishwa shingo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMKAZI wa kijiji cha Ilalangulu, kata ya Kibaoni wilayani Mlele, Elizabeth Richard (16) ameuawa kwa kuchinjwa shingo, kichwa kikitenganishwa na kiwiliwili chake na watu wasiofahamika kisha wakanyofoa sehemu zake za siri na kuondoka nazo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh

Mwanablogu mmoja mwenye asili ya Marekani na ile ya Bangladeshi- maarufu kwa maoni ya kumkana Mungu ameuawa kinyama

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema auawa kinyama Geita

Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi

Matukio ya ukatili yameendelea kushamiri wilayani Masasi, baada ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Sabasaba Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Swaumu Jumanne Chedi (34) kuuawa kinyama na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana (juzi).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani