Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili
WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Oct
Dereva wa Boda boda Nzega auawa kikatili
Katika hali isiyokuwa ya kawaida Dereva wa pikipiki maarufu kwa jina la Boda boda Hosamu Abdulrahamani (18) mkazi wa Nyasa Nzega mkoani Tabora ameuawa kwa kuchinjwa na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi kisha kukata kichwa na sehemu za siri na kuondoka navyo na kupora pikipiki yake.
Tukio hilo limetokea Octobar 3 mwaka huu majira ya saa Nne usiku katika kijiji cha Silimka kata ya Itilo baada ya ushirikiano mkubwa wa boda boda kuutafuta mwili huo na kuupata ...
11 years ago
GPLAUAWA KIKATILI KWA MAPANGA
10 years ago
GPL
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI, MOROGORO
10 years ago
Mwananchi12 Nov
Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa
10 years ago
Vijimambo
MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI MKOANI MOROGORO

11 years ago
CloudsFM25 Jun
BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA
Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...
11 years ago
Habarileo12 Aug
Dereva bodaboda atekwa, auawa
MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Dereva bodaboda auawa kinyama
10 years ago
Habarileo18 Dec
Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu
MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.