Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyemuua kikatili dereva bodaboda, auawa kikatili

WANANCHI wamemuua mtuhumiwa wa mauaji wakati akijaribu kutoroka kutoka mjini Namanyere wilayani Nkasi, mkoani Rukwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Dereva wa Boda boda Nzega auawa kikatili

Katika  hali isiyokuwa ya kawaida  Dereva wa pikipiki maarufu  kwa jina la Boda boda Hosamu  Abdulrahamani (18) mkazi  wa Nyasa  Nzega  mkoani Tabora ameuawa  kwa kuchinjwa  na watu wanaodhaniwa  kuwa ni majambazi  kisha  kukata kichwa na sehemu za siri na kuondoka navyo na kupora  pikipiki  yake.

Tukio  hilo  limetokea Octobar  3  mwaka huu  majira ya saa Nne  usiku  katika  kijiji  cha Silimka  kata  ya  Itilo  baada ya  ushirikiano  mkubwa  wa boda boda  kuutafuta  mwili  huo  na kuupata ...

 

11 years ago

GPL

AUAWA KIKATILI KWA MAPANGA

Stori: Victor Bariety, Geita
HUU ni unyama! Modester Shija, 55, mkazi wa Kitongoji cha Kamlale, Kijiji cha Nyawilimilwa, wilayani Geita, ameuawa kikatili kwa kukatwa mapanga. Tukio hilo la kuhuzunisha, lilitokea Machi 14, mwaka huu ambapo lilifanywa na watu wasiojulikana wakati mama huyo akiwa jikoni kwake akitayarisha chakula cha usiku. Ilielezwa kuwa siku ya tukio, majira ya saa 1:30 usiku, Modester akiwa jikoni,  walifika...

 

10 years ago

GPL

MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI, MOROGORO

Mwili wa mlinzi huyo ukiingizwa kwenye gari la polisi ili kupelekwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti. Watu wasiojulikana wamemuua mtu mmoja anayedaiwa kuwa mlinzi wa Mahakama ya Kinguluwira mjini Morogoro (jina lake halijajulikana bado) kwa kumkata panga kichwani na kunyofoa baadhi ya viungo vyake, kisha kutupa mwili wake katika mashamba ya Pangawe mjini Morogoro. Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, mwili huo ulikutwa ukiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mtoto aliyepotea auawa kikatili, maiti yaokotwa

 Mtoto Nuru Mohamedi (7) ameuawa kikatili na kisha mwili wake kutelekezwa kwenye nyumba ambayo haijakamilika ujenzi iliyo Majohe Kichangani mjini hapa.

 

10 years ago

Vijimambo

MLINZI WA MAHAKAMA AUAWA KIKATILI MKOANI MOROGORO

Watu wasiojulikana wamemuua mtu mmoja anayedaiwa kuwa mlinzi wa Mahakama ya Kinguluwira mjini Morogoro (jina lake halijajulikana bado) kwa kumkata panga kichwani na kunyofoa baadhi ya viungo vyake, kisha kutupa mwili wake katika mashamba ya Pangawe mjini Morogoro.Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, mwili huo ulikutwa ukiwa umeharibika vibaya huku baadhi ya viungo vikiwa vimenyofolewa.Kwa mujibu wa mashuhuda na ndugu wa marehemu wamesema mtu huyo alipotea nyumbani takribani siku kumi na mbili...

 

11 years ago

CloudsFM

BIBI KIZEE AUAWA KIKATILI KWA IMANI ZA KISHIRIKINA, KAHAMA

Bibi mmoja Mkazi wa mtaa wa Nyahanga, wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, Rebeka Sengasenga (82), ameuawa kwa kukatwa na Shoka kichwani kwa kile kinachohisiwa kuwa ni imani za Kishirikina.Kwa mujibu wa majirani, tukio hilo limetokea leo majira ya saa tatu asubuhi katika Mtaa wa Nyahanga, wilayani humo, ambapo Marehemu Rebeka alienda nyumbani kwa mtoto wake Bundala Sengasenga alikokuwa ameitwa na mke wa Bundala kusaidia kuanika Dengu.
Imeelezwa kuwa Merehemu Rebeka ambaye alikuwa akiishi kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Dereva bodaboda atekwa, auawa

MWENDESHA pikipiki maarufu kama bodaboda, Nuru James (19), ameuawa kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili wake na watu wasiofahamika wilayani hapa, mkoani Mara.

 

10 years ago

Mwananchi

Dereva bodaboda auawa kinyama

Watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya dereva wa bodaboda, Omari Shaaban (32) na kumuua kisha kuichoma moto, katika tukio linalohusishwa na visa na wivu wa mapenzi.

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa bodaboda auawa kwa kisu

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, Dhahri Kidavashari MWENDESHA pikipiki maarufu bodaboda, Zacharia Lungwa (24) mkazi wa Kitongoji cha Kawajense mjini Mpanda katika mkoa wa Katavi ameuawa kwa kuchomwa na kisu na abiria wake aliyekuwa amembeba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani