Mwanamke auawa kinyama
MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi04 Jul
UKATILI: Auawa kinyama
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh
10 years ago
Habarileo21 Dec
Auawa kinyama na kutenganishwa shingo
MKAZI wa kijiji cha Ilalangulu, kata ya Kibaoni wilayani Mlele, Elizabeth Richard (16) ameuawa kwa kuchinjwa shingo, kichwa kikitenganishwa na kiwiliwili chake na watu wasiofahamika kisha wakanyofoa sehemu zake za siri na kuondoka nazo.
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Dereva bodaboda auawa kinyama
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Kigogo Chadema auawa kinyama Geita
11 years ago
Mwananchi31 May
Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Adhabu ya kinyama kwa mwanamke India
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli
11 years ago
Mtanzania18 Aug
Mwanamke auawa, achunwa ngozi Mbeya

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki
Na Pendo Fundisha, Mbozi
WATU wasiofahamika wamemuua mwanamke mkazi wa Kijiji cha Idiwili, Kata ya Iyula wilayani Mbozi na kumchuna ngozi ya shingo.
Pamoja na kumchuna ngozi marehemu, wauaji hao pia walinyofoa macho, ulimi na koromeo la marehemu.
Baada ya mauaji hayo ya kinyama wauaji hao waliutelekeza porini mwili wa marehemu huyo, Angelina Kameza (26).
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki alisema:
“Tumepokea taarifa...