Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanamke auawa kinyama

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Auawa kinyama

>Watu wasiofahamika wamemuua mkazi wa Kijiji cha Vikonge Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi,  Kitola Jeremia (45) kwa kumkatwa mapanga sehemu za mwili wake sambamba na kumtoboa tumbo .

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanablogu auawa kinyama Bangladesh

Mwanablogu mmoja mwenye asili ya Marekani na ile ya Bangladeshi- maarufu kwa maoni ya kumkana Mungu ameuawa kinyama

 

10 years ago

Habarileo

Auawa kinyama na kutenganishwa shingo

Kamanda wa Polisi mkoa wa Katavi, Dhahiri KidavashariMKAZI wa kijiji cha Ilalangulu, kata ya Kibaoni wilayani Mlele, Elizabeth Richard (16) ameuawa kwa kuchinjwa shingo, kichwa kikitenganishwa na kiwiliwili chake na watu wasiofahamika kisha wakanyofoa sehemu zake za siri na kuondoka nazo.

 

10 years ago

Mwananchi

Dereva bodaboda auawa kinyama

Watu wasiojulikana wamevamia nyumba ya dereva wa bodaboda, Omari Shaaban (32) na kumuua kisha kuichoma moto, katika tukio linalohusishwa na visa na wivu wa mapenzi.

 

9 years ago

Mwananchi

Kigogo Chadema auawa kinyama Geita

Mji wa Geita umezizima kwa simazi, vilio na majonzi baada ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuuawa kinyama kwa kushambuliwa na silaha za jadi ikiwamo kukata kichwa kwa shoka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwalimu wa kike auawa kinyama wilayani Masasi

Matukio ya ukatili yameendelea kushamiri wilayani Masasi, baada ya Mwalimu wa Shule ya Msingi Sabasaba Halmashauri ya Mji Masasi mkoani Mtwara, Swaumu Jumanne Chedi (34) kuuawa kinyama na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia jana (juzi).

 

10 years ago

BBCSwahili

Adhabu ya kinyama kwa mwanamke India

Mwanamke mmoja magharibi mwa India ameadhibiwa kwa kuburuzwa na Punda akiwa nusu utupu adhabu iliyoamrishwa na baraza la kijiji,Panchayat.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mpalestina auawa na Waisraeli

Polisi wa Israili wanasema kuwa Mpalestina amepigwa risasi na kuuawa,kwa kumdunga kisu askari wa Israeli

 

11 years ago

Mtanzania

Mwanamke auawa, achunwa ngozi Mbeya

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki

Na Pendo Fundisha, Mbozi

WATU wasiofahamika wamemuua mwanamke mkazi wa Kijiji cha Idiwili, Kata ya Iyula wilayani Mbozi na kumchuna ngozi ya shingo.

Pamoja na kumchuna ngozi marehemu, wauaji hao pia walinyofoa macho, ulimi na koromeo la marehemu.

Baada ya mauaji hayo ya kinyama wauaji hao waliutelekeza porini mwili wa marehemu huyo, Angelina Kameza (26).

Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Barakaeli Masaki alisema:

“Tumepokea taarifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani