Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adhabu ya kinyama kwa mwanamke India

Mwanamke mmoja magharibi mwa India ameadhibiwa kwa kuburuzwa na Punda akiwa nusu utupu adhabu iliyoamrishwa na baraza la kijiji,Panchayat.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke auawa kinyama

MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Wanaume wanne wanyongwa kwa kumbaka mwanamke ndani ya basi

Wanaume hao walishitakiwa kwa kumbaka na kumuua mwanamke katika mji mkuu wa India

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke ‘wa ajabu’ kutoka India arejea nyumbani

Mwanamke kutoka India, aliyekwama Pakistan kwa mwongo mmoja bila kujulikana hasa alitoka eneo gani, amerejea nchini India.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mwanamke kutoka India ‘akatwa mkono’ Saudia

Mwanamke mmoja aliyekuwa ameenda kufanya kazi Saudi Arabia amelazwa hospitalini baada ya kudaiwa kukatwa mkono na mwajiri wake.

 

5 years ago

BBCSwahili

India: Gumzo la mwanamke anapokuwa kwenye hedhi limerudi tena mitandaoni

India wanafunzi wa chuo wamelazimishwa kuvua nguo zote kukaguliwa kama wako kwenye hedhi au la

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9

Polisi nchini Argentina wamemwokoa msichana mwenye umri wa miaka 15 ambaye alifungiwa katika eneo la kuegesha magari na kunyimwa chakula pamoja na kupigwa kwa miaka tisa.

 

9 years ago

Habarileo

RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.

 

9 years ago

StarTV

Serikali kuongeza adhabu kwa wanaovunja sheria kwa kuzidisha mizigo

Serikali inatarajia kuongeza adhabu ya makosa ya uzidishaji mizigo inayosafirishwa kwenye magari kwa njia barabara kuwa kubwa kuliko thamani ya mizigo inayosafirishwa ili kukomesha vitendo vya ukiukaji wa sheria za usafirishaji ambao unasababisha uharibifu wa barabara nchini.

Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi na mawasiliano amesema kabla ya kufanya maamuzi hayo, watakaa na wadau wa barabara kuwashirikisha uamuzi huo ili kuzifanya barababra nchini kuwa salama.

 Naibu waziri wa ujenzi, uchukuzi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Adhabu kwa mke kwa kumtelekeza mume

Mwanamke mmoja nchini Kenya ameamrishwa na mahakama kumlipa mumewe dola 35 kama hela za kukidhi mahitaji yake na watoto wake kila mwezi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani