RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji
MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cPakA0chAEypz4EbOSnxVEi6M8OTMOvFKbHypadFKnqav*np0foqcK3Q69xQkBM1cNwJiEQsXa6rny*yzp3TI2OnG9aLttfx/dude2.jpg?width=650)
MAMA AMFANYIA MTOTO VITENDO VYA KINYAMA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s72-c/4.jpg)
NAPE ALAANI VITENDO VYA KINYAMA VINAVYOFANYWA NA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wFHeNCJ8UR8/UvVAs8NxCPI/AAAAAAAALzA/Sj0YIG3qQ4o/s1600/4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Lr7LWGYvO4g/UvVAls_coFI/AAAAAAAALy4/gaikn9VKfDQ/s1600/3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Cezf7fOjZG4/UvVCtJMuejI/AAAAAAAALzU/2zV13GR40JU/s1600/2.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Mtoto wa miaka 6 afanyiwa vitendo vya kinyama abakwa na kunyongwa Singida
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP, Thobias Sedoyeka akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) ofisini kwake.
Na Nathaniel Limu, Singida
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka sita mkazi wa kitongoji cha Maweni kijiji cha Mayaha kata ya Minyughe tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida,Samaka Matawa,amefariki dunia baada ya kubakwa na kisha kunyongwa shingo.
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Singida, ACP,Thobias Sedoyeka, alisema tukio hilo la kusikitisha na la...
11 years ago
Habarileo24 Apr
Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka
WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uT0f5AopP9w/XlaHmQHlqAI/AAAAAAALfjI/C6vo3WO6Odgoagf-_fWS7X52d4WTNXwwwCLcBGAsYHQ/s72-c/gab.jpg)
VITENDO VYA ULAWITI KWA WANAFUNZI VYASHAMIRI ARUSHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-uT0f5AopP9w/XlaHmQHlqAI/AAAAAAALfjI/C6vo3WO6Odgoagf-_fWS7X52d4WTNXwwwCLcBGAsYHQ/s1600/gab.jpg)
Vitendo vya ubakaji na kulawitiana kwa baadhi ya wanafunzi wa kiume wa shule za msingi jijini Arusha vimeelezwa kushamiri kiasi cha wanafunzi kushindwa kusoma,ambapo walimu wa shule hizo wameitaka jamii kuunganisha nguvu ili kutokomeza matukio hayo yanayosababishwa na utandawazi.
Hayo yamebainishwa jijini Arusha na baadhi ya walimu wa shule za msingi wakati wakipatiwa mafunzo maalumu juu ya vitendo vya ukatili na unyanyashaji dhidi ya wanawake na mtoto yaliyotolewa...
9 years ago
Habarileo04 Sep
‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’
KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-OKCNZwa_dsM/XrqwlytQTzI/AAAAAAAAH4s/dykmUEuyNAsBv0euHSzlI9g10lmvAtYwgCLcBGAsYHQ/s72-c/BARAKA%2B2.jpg)
KATA YA KITWIRU YAKITHIRI KWA VITENDO VYA UPORAJI NA UKABAJI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-OKCNZwa_dsM/XrqwlytQTzI/AAAAAAAAH4s/dykmUEuyNAsBv0euHSzlI9g10lmvAtYwgCLcBGAsYHQ/s640/BARAKA%2B2.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Wananchi wa kata ya Kitwiru Manispaa ya Iringa Wameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuanzisha mkakati maalum utakaowashirikisha wakazi wa maeneo hayo ili kudhibiti ongezeko la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo matumizi yamihadarati aina...
11 years ago
GPLSIMBA YALIMWA FAINI KWA KUENDEKEZA VITENDO VYA KUSHIRIKINA
11 years ago
GPLPOLISI WANNE WAFUKUZWA KAZI KWA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHALIFU