Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KATA YA KITWIRU YAKITHIRI KWA VITENDO VYA UPORAJI NA UKABAJI.

Diwani wa Kata ya Kitwiru Baraka Kimata akiongea na wananchi jinsi ya kupambana na vitendo vya ukabaji na uporaji wa mali unaofanywa na vibaka katika mtaa wa Nyamuhanga( PICHA KUTOKA MAKTABA)

NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Wananchi wa kata ya Kitwiru  Manispaa ya Iringa Wameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuanzisha mkakati maalum utakaowashirikisha wakazi wa maeneo hayo ili kudhibiti ongezeko la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo matumizi yamihadarati aina...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

KATA YA KITWIRU BARABARA ZAKARABATIWA,WANANCHI WAPONGEZA


Diwani wa kata ya Kitwiru Baraka Kimata akiwa na burudoza likikarabati baadhi ya Barbara za mitaa ya kata ya Kitwiru.


NA FREDY MGUNDA,IRINGA.

Wananchi wa kata ya kitwiru wapongeza juhundi za diwani wa kata hiyo kwa kurekebisha miundombinu ya barabara ambayo itasaidia kukuza maendeleo ya wananchi.

Wakizungunza wakati wa ukarabati barabara za mitaa mbalimbali katika kata hiyo ya Kitwiru walisema jambo analolifanya diwani huyo ni kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za kimaendeleo bila ya...

 

10 years ago

Habarileo

RC ashtushwa na vitendo vya kinyama kwa wafugaji

MKUU wa Mkoa wa Kagera John Mongella ameshtushwa na madai ya kuwapo kwa vitendo vya kinyama dhidi ya wafugaji wanapoingiza mifugo yao kwa bahati mbaya katika hifadhi za Kimisi, Burigi na Kasindaga.

 

11 years ago

Habarileo

Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka

WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.

 

5 years ago

Michuzi

VITENDO VYA ULAWITI KWA WANAFUNZI VYASHAMIRI ARUSHA

Na Ahmed Mahmoud, Arusha

Vitendo vya ubakaji na kulawitiana kwa baadhi ya wanafunzi  wa kiume wa shule za msingi jijini Arusha vimeelezwa kushamiri kiasi cha wanafunzi kushindwa kusoma,ambapo walimu wa shule hizo wameitaka jamii kuunganisha nguvu ili  kutokomeza matukio hayo yanayosababishwa na utandawazi.

Hayo yamebainishwa  jijini Arusha na baadhi ya walimu wa shule za msingi wakati wakipatiwa mafunzo maalumu juu ya vitendo vya ukatili na unyanyashaji dhidi ya wanawake na mtoto yaliyotolewa...

 

10 years ago

Habarileo

‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’

KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.

 

11 years ago

GPL

SIMBA YALIMWA FAINI KWA KUENDEKEZA VITENDO VYA KUSHIRIKINA

Kocha Mkuu wa Simba Loga akiongea na wachezaji wake. Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeipiga faini ya jumla ya sh. milioni moja klabu ya Simba kutokana na makosa mbalimbali ikiwemo vitendo vinavyoashiria ushirikina uwanjani. Simba ilifanya vitendo hivyo katika mechi yake dhidi ya Mbeya City ambapo imepigwa faini ya sh. 500,000. Pia imepigwa faini nyingine ya sh. 500,000 kwa makocha wake Loga, Selemani Matola na Idd Pazi...

 

11 years ago

GPL

POLISI WANNE WAFUKUZWA KAZI KWA KUJIHUSISHA NA VITENDO VYA UHALIFU

Kamanda  wa kanda maalum ya Dar es salaam  Kamishina Suleman Kova akizungumza na wanahabari muda huu ofisini kwake juu ya kufukuzwa kwa askari hao. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewafukuza kazi kwa fedheha askari wanne wa Jeshi la Polisi kutokana na makosa ya kujihusisha na vitendo vya uhalifu. Askari waliofukuzwa wanatoka katika vikosi mbalimbali kama ifuatavyo: 
E.6396 CPL RAJABU MKWENDA @ UGORO wa...

 

10 years ago

Vijimambo

MWIGULU NCHEMBA ATUA KWA WAMASAI SIMANJIRO,OPERATION YAKE YA KATA KWA KATA NI USHINDI WA KIMBUNGA KWA CCM

Mjumbe wa timu ya Ushindi ya Chama cha Mapinduzi Ndg.Mwigulu Nchemba akiwasili Jimbo la Simanjiro na kupokelewa na Mbunge mtarajiwa wa Jimbo hilo Ndg.Ole Sendeka mapema hii leo.Mwigulu Nchemba akimnadi Ole sendeka kwa wananchi wake,Kubwa ni Ujasiri wa Ole sendeka kwenye kutetea maslahi ya taifa,Ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo kama barabara zinazokwenda kujengwa kwa kiwango cha rami kuunganisha na mikoa inayopakana na SImanjiro.Ole Sendeka akizungumza na Wananchi wake wa kata ya Engesbert...

 

10 years ago

Michuzi

NHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA

Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Ofisi ya Mkoa wa Lindi,Fortunata Raymond akitoa Mada ya Maboresho yanayotekelezwa na Mfuko hususani kitita cha Mafao kwa Wanachama katika Kata namichiga Wilayani Ruangwa ambapo pia aliwataka kutumia Mkutano huo kubainisha Changamoto hasi na Chanya zitakazowezesha Maboresho Ya Huduma Za Matibabu Sambamba Na Sekta Ya Afya Kwa Ujumla,Kushoto Katikati Ni Mtendaji Kata Ya Namichiga Richard Nnonjela Na Kushoto Kabisa Ni Mwalimu Mkuu Wa Shule...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani