KATA YA KITWIRU BARABARA ZAKARABATIWA,WANANCHI WAPONGEZA

Diwani wa kata ya Kitwiru Baraka Kimata akiwa na burudoza likikarabati baadhi ya Barbara za mitaa ya kata ya Kitwiru.
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Wananchi wa kata ya kitwiru wapongeza juhundi za diwani wa kata hiyo kwa kurekebisha miundombinu ya barabara ambayo itasaidia kukuza maendeleo ya wananchi.
Wakizungunza wakati wa ukarabati barabara za mitaa mbalimbali katika kata hiyo ya Kitwiru walisema jambo analolifanya diwani huyo ni kuhakikisha wananchi wanafanya shughuli za kimaendeleo bila ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi
KATA YA KITWIRU YAKITHIRI KWA VITENDO VYA UPORAJI NA UKABAJI.

NA FREDY MGUNDA,IRINGA.Wananchi wa kata ya Kitwiru Manispaa ya Iringa Wameiomba Serikali kupitia vyombo vyake vya ulinzi na usalama kuanzisha mkakati maalum utakaowashirikisha wakazi wa maeneo hayo ili kudhibiti ongezeko la vijana wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo matumizi yamihadarati aina...
10 years ago
Michuzi.jpg)
wananchi wafunga barabara kawe bondeni kushinikiza matuta yajengwe barabara ya bagamoyo kuzuia ajali
.jpg)
.jpg)
.jpg)
10 years ago
MichuziNHIF LINDI WATOA ELIMU KATA KWA KATA KWA WANACHAMA WAKE,SANJARI NA UPIMAJI WA AFYA BURE KWA WANANCHI WILAYANI RUANGWA
10 years ago
VijimamboJANET AAHIDI KUSHUGHULIKIA KERO YA BARABARA KATA YA NGULILO
Vikundi vya ngoma aina ya Mang;oma vikitoa burudani ya kucheza katika mkutano huo
11 years ago
Habarileo13 Mar
Kilomita 600 reli ya kati zakarabatiwa
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe amesema tayari kilomita 600 za njia ya reli ya kati zimekarabatiwa, ikiwa ni maandalizi ya kufanya reli ya kati kuwa imara.
11 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Wananchi Gairo wachoma ofisi ya kata
WANANCHI wa Kata ya Chakwale Wilaya ya Gairo mkoani hapa, wamechoma moto na kuteketea kabisa, Ofisi ya Ofisa Mtendaji wakimtuhumu kuhusika na ubadhirifu wa fedha, kuwanyanyasa na kuwaweka ndani pindi...
9 years ago
Michuzi
WANANCHI WA KATA YA SARANGA KUPIGA KURA JUMAPILI

Akizungumza na waandishi wa habari leo, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Mhandisi Mussa Natty amesema kuwa kufanya uchaguzi huo kunatokana na kuharibika kwa uchaguzi wa Oktoba 25 ulisababishwa na vurugu.
Amesema wananchi wanaotakiwa kupiga kura kwa kata hiyo ni wale waliojiandikisha katika daftari la kudumu la mpiga kura.Natty amesema...
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Wananchi kata ya Kisaki kunufaika na nishati ya Jotoardhi
Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania.
Na Lilian Lundo – Maelezo
Wananchi kata ya Kisaki, wilaya ya Morogoro Vijijini kunufaika na nishati ya jotoardhi inayotokana na chanzo cha maji ya moto yaliyoko katika kata hiyo.
Akiongea na kamati ya maendeleo ya kata ya Kisaki leo, Mkurugenzi Mhandisi Kato Kabaka wa Kampuni ya Uendelezaji wa Jotoardhi Tanzania aliiambia kamati hiyo kuwa, Kisaki ni mojawapo ya Kata ambazo zitanufaika na nishati ya umeme...
10 years ago
MichuziWANANCHI WA KATA YA BARAY KARATU WAKABIDHIWA MIRADI MINNE