Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JANET AAHIDI KUSHUGHULIKIA KERO YA BARABARA KATA YA NGULILO


Vikundi vya ngoma aina ya Mang;oma vikitoa burudani ya kucheza katika mkutano huoMgombea Ubunge wa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Janet Mbene akiwahutubia wakazi wa kata ya Ngulilo na kuahahidi kushughulikia tatizo la barabara

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AUTEKA MJI WA KAHAMA,AAHIDI KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA MADEREVA

Maelfu ya Wakazi wa Mji wa Kahama na Vitongoji vyake wakimsikiliza  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake na kujinadi kwa kuwaomba wampigie kura ya ndio asubuhi na mapema Oktoba 25 mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu,ili aibuke mshindi na kupata ridhaa ya kuwaongoza Watanzania katika awamu ya tano.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI AUTEKA MJI WA KAHAMA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MIGOGORO YA MADEREVA




Maelfu ya Wakazi wa Mji wa Kahama na Vitongoji vyake wakimsikiliza  Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli alipokuwa akimwaga sera zake na kujinadi kwa kuwaomba wampigie kura ya ndio asubuhi na mapema Oktoba 25 mwaka huu kwenye uchaguzi mkuu,ili aibuke mshindi na kupata ridhaa ya kuwaongoza Watanzania katika awamu ya tano.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa chama cha Mapinduzi CCM Dkt John Pombe Magufuli...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI APIGWA NA BUTWAA NYOMI LA GEITA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MATATIZO YA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania   kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi katika mkutano wake wa kampeni  uliofanyika katika uwanja wa shule ya Msingi Kalangalala mjini Geita leo na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Mgombea Urais Huyo amewaambia wananchi wa Geita kuwa mara atakapoingia Ikulu, moja ya changamoto anazotarajiwa kuzipa kipaumbele ni pamoja na suala la kutatua mgogoro wa wachimbaji madini wadogo wadogo.


Magufuli ameasema...

 

9 years ago

Michuzi

Janet Mbene katika kampeni kata ya Malangali jimbo la Ileje

 Katibu wa CCM Wilaya ya Ileje mkoa songwe Hamida Mbogo akiwa jukwaani akinadi sera za CCM  juu ya mafiga matatu katika kata ya Malangali wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea ubunge wa chama hicho Janet Mbene Kikundi cha ngoma za asili kutoka kata ya Malangali kikitoa burudani kwa wanaCCM waliofika kusikiliza sera za mgombea wa Chama hicho wilaya ya Ileje Janet Mbene Mgombea ubunge wa chama cha Mapinduzi katika Wilaya ya Ileje mkoa wa Songwe Janet Mbene akihutubia mamaia ya wakazi wa kata...

 

10 years ago

Vijimambo

NAIBU WAZIRI JANET MBENE AFANYA MKUTANO NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KATA YA ISOKO

Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akipokea zawadi ya ungo kutoka kwa mwakilishi wa wasuka ungo wa bundali.Naibu waziri wa Viwanda na biashara na mgombea ubunge wa jimbo laileje mkoani Songwe, Janet Mbene akisalimiana na vijana waliotokeakumlaki katika kata ya isoko walayani hapo.Naibu waziri waviawnada na biashara na mgombea ubunge katika jimbo ileje mkoa wa Songwe,Janet Mbene akitembea huku mamamia ya watu wkimfuta nyuma mara baada ya kumalizika kwa mkutano wake na wajumbe wa...

 

10 years ago

Habarileo

JK aahidi kuzika kero za walimu

Rais Jakaya Kikwete akiwahutubia walimu katika ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Walimu Tanzania (CWT), uliofanyika katika Hoteli ya Ngurdoto nje kidogo ya mji wa Arusha jana. Mkutano huo pia utawachagua viongozi wapya wa chama hicho. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amesema atahakikisha anamaliza matatizo yote yanayowakabili walimu kote nchini katika kipindi kilichobaki cha utawala wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Aahidi kutatua kero huduma za jamii

Mgombea Ubunge Jimbo la Kalenga kupitia CCM, Godfrey Mgimwa ameahidi kutatua kero ya zahanati katika Kijiji cha Mfukulembe endapo atapata nafasi ya kuwatumikia wananchi wa jimbo hilo kama mbunge wao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ridhiwani aahidi kutatua kero ya maji

MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, amewaahidi wakazi wa jimbo hilo kushughulikia kero ya maji kwa baadhi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Tendega aahidi kutatua kero za kilimo Kalenga

Mgombea ubunge kupitia Chadema, Grace Tendega amesema endapo wananchi watampa ridhaa na kumchagua kuwa mbunge wa Jimbo la Kalenga, atahakikisha anaishinikiza Serikali kuunda chombo kitakachosimamia suala la pembejeo za kilimo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani