‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’
KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake
UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pf8UtCOk5_8/Xlkt4qAf2iI/AAAAAAALf8M/S6K3jtRY8nMiIld-sQgRshwAMbmyOH2iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1-3.jpg)
WATENDAJI VITENDO VYA KIKATILI HAWATAKUWA SALAMA-DAS MASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-2-2.jpg)
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akieleza Lengo la Msafara wa kijinsia wakati ulipopokelewa katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-3-3.jpg)
Msafara wa Kijinsia wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu mara baada ya kuupokea Msafara wa kijinsia ulipofika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s72-c/2-58.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAO VITENDO VYA KIKATILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s640/2-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-70.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Naungana na Wewe Kupinga Vitendo vya kikatili juu ya Albino
![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi...
11 years ago
Habarileo24 Apr
Vitendo vya ukatili kwa watoto vyaongezeka
WATOTO 863 nchini wamefanyiwa vitendo vya kikatili mwaka jana, ikiwemo kulawitiwa na walezi wao. Aidha katika kipindi hicho watu 1,669 waliuawa kwa wananchi kujichukulia sheria mkononi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...
5 years ago
CCM BlogSAMIA: VITENDO VYA KULAWITI WATOTO WA KIUME NI UKATILI NA UDHALILISHAJI WA WATOTO, LAZIMA VIKOMESHWE
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amekemea vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto hasa wa kiume ambao baadhi wamekuwa wakiwadhalilisha kwa kuwalawiti.
Ameyasema hayo leo mkoani Simiyu wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani hapa/
Makamu wa Rais amewataka Watanzania kusimama pampja kwa kila mmoja kuwa mlinzi wa mwenzie na kuwa katika mapambano hayo ya kupambana na vitendo vya ukatili wa kijinsia.
"Sasa hii tabia ya kuwageuza...