Naungana na Wewe Kupinga Vitendo vya kikatili juu ya Albino
![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
"Ni kweli mimi ni Albino, nimejikubali na nimeishi maisha yangu yote bila kujali nilivyo. Sijawahi kutumia hali yangu kupata kitu kwa huruma, nimeyapigania maisha yangu na nimepiga hatua.
Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao
Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.
Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...
10 years ago
GPLALBINO KUANDAMANA KWENDA IKULU KUPINGA VITENDO VYA MAUAJI DHIDI YAO
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
Vitendo vya kikatili adha inayowakumba wanawake
UKIZUNGUMZIA ukatili wa kijinsia, akili za watu wengi zinajikita katika unyanyasaji wa wanawake. Hali hiyo inatokana na ukweli kuwa ukatili wa kijinsia kwa kiwango kikubwa huwakumba wanawake kuliko wanaume. Lakini...
9 years ago
Habarileo04 Sep
‘Ngoma huzidisha vitendo vya kikatili kwa watoto’
KAMATI ya Ulinzi wa Mtoto ngazi ya Kijiji cha Manerumango Kaskazini mkoani Pwani imekiri kuwa kipindi cha ngoma ndio wakati ambao vitendo vya ukatili kwa watoto hutokea hasa kupata ujauzito na wengine kulawitiwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-pf8UtCOk5_8/Xlkt4qAf2iI/AAAAAAALf8M/S6K3jtRY8nMiIld-sQgRshwAMbmyOH2iACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAYO VITENDO VYA KIKATILI
Hayo yamebainika leo Makambako mkoani Njombe wakati msafara wa kijinsia kutokomeza ukatili ulipofika mkoani humo kwa ajili ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto.
Mhe. Ruth amesema kuwa Serikali haipingi adhabu ya viboko ila sio kutoa adhabu ya viboko vya kupitiliza na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s72-c/2-58.jpg)
DC NJOMBE AAGIZA KUKAMATWA WALIMU WAFANYAO VITENDO VYA KIKATILI
![](https://1.bp.blogspot.com/-yXcdPbrqFtE/XloITkVgsDI/AAAAAAALgCU/ut_ZprgJefkhOp3SFL-MMu41ES2dWIkygCLcBGAsYHQ/s640/2-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-58.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1-70.jpg)
Mwakilishi wa Mkuu wa Mkoa wa Njombe ambaye ni Mkuu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s72-c/Pix-1-3.jpg)
WATENDAJI VITENDO VYA KIKATILI HAWATAKUWA SALAMA-DAS MASWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hnKr8x3s8Q0/XmD3yV4NfXI/AAAAAAALhOQ/tQi_Lrpwi9s7JjEmofTi_ICszDr-jBvugCLcBGAsYHQ/s640/Pix-1-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-2-2.jpg)
Mwakilishi wa Katibu Mkuu Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Bi. Imelda Kamugisha akieleza Lengo la Msafara wa kijinsia wakati ulipopokelewa katika Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/Pix-3-3.jpg)
Msafara wa Kijinsia wakiwa katika picha ya pamoja na uongozi wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu mara baada ya kuupokea Msafara wa kijinsia ulipofika...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
WANANCHI WATAKIWA KUUNGA MKONO SERIKALI DHIDI YA VITENDO VYA KIKATILI HASA KWA WANAWAKE NA WTOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-fJ7MCuCFEfk/Xl4OOmF2XrI/AAAAAAACz60/FIkUM-F-ZUcsQ9dYY_PmH1HcFJSzRdfSgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mkuu wa mkoa huyo ameyasema hayo jana mkoani humo wakati akiupokea Msafara wa Kijinsia kutokomeza ukatili unaolenga kutoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya kufanya vitendo vya ukatili wa kijinsia kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Kitaifa Simiyu Machi 08,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XzHiUFEsZfM/XlQodgz5pnI/AAAAAAALfMI/ITicwX_ioHYJL8fFM9jC6vDmfnW75akeACLcBGAsYHQ/s72-c/1449ca8c-68eb-472a-94b8-80d7dd152563.jpg)
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani wazinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Msafara wa kijinsia unaolenga kutokomeza vitendo vya kikatili kuelekea Siku ya Wanawake Duniani umezinduliwa rasmi mkoani Katavi.
Akizungumza wakati akizindua Msafara huo Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mhe. Juma Zuberi Homera amesema kuwa vitendo vya kikatili vimekuwa vikishamiri kila siku katika jamii zetu hivyo vinatakiwa kupatiwa mbinu ya kupambana navyo.
Ameongeza kuwa Serikali haiwezi kuvumilia kuona wanawake na watoto wanafanyiwa vitendo vya kikatili hivyo itahakikisha...