Albino kuandamana kwenda Ikulu kupinga vitendo vya mauaji dhidi yao
Mjumbe wa Chama cha Maalbino Tanzania, Sophia Mhando (katikati), akizungumza kwa uchungu katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu vitendo vya kikatili wanavyofanyiwa pamoja na maandamano hayo ya amani ya kwenda Ikulu. Kushoto ni Mkurugenzi wa Action on Disability & Development (ADD), Mathew Kawongo na Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner.
Ofisa Habari Mahusiano ya Umma wa Chama cha Albino Tanzania Josephat Torner...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLALBINO KUANDAMANA KWENDA IKULU KUPINGA VITENDO VYA MAUAJI DHIDI YAO
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Naungana na Wewe Kupinga Vitendo vya kikatili juu ya Albino
![](http://2.bp.blogspot.com/-0UyIcuApJbg/VOcgIv0K8hI/AAAAAAAAqNc/3fwRdoWj1CU/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-20%2Bat%2B2.51.23%2BPM.png)
Leo hii naongea nanyi nikiwa Baba, Mume, Mwandishi Mwandamizi, Blogger, na mengine mengi, lakini hali yangu sasa inaanza kunikwaza.
Haya mauaji jamani, nimejiteua kuwa Balozi, nitatetea, na kusimama mbele ya wenzangu wote wenye hali kama hii, kama ni wanasiasa ama wafanyabiashara, wanataka kutuua kwa maslahi...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Kuandamana Dar kupinga mauaji Palestina
TAASISI ya Hawzat-Imam-Swadiq (A.S), iliyopo Kigogo Post, jijini Dar es Salaam, imepanga kufanya maandamano kesho kupinga mauaji yanayoendelea Mashariki ya Kati dhidi ya Wapalestina. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana,...
10 years ago
Mtanzania03 Mar
Filamu kupinga mauaji ya albino kuandaliwa
NA JOHN MADUHU, MWANZA
WAIGIZAJI wa filamu nchini, wanatarajia kuungana katika filamu moja itakayokuwa ikipinga mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino).
Mwigizaji Jacob Steven ‘JB’, alizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, wakati wa kongamano la amani lililoandaliwa na maaskofu na masheikh wa Mkoa wa Mwanza.
JB ambaye alikuwa ameongozana na wasanii wengine kama Mzee Majuto na Mrisho Mpoto, alisema mchakato wa kuandaa filamu hiyo umeanza.
“Tumeguswa na mauaji ya walemavu wa ngozi,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/iL6u1bLBots/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies09 Mar
Riyama na Keisha Mzigoni Kupinga Mauaji ya Albino!!
Takribani kwa wiki mzima sasa Staa wa Bongo Movies, Riyama amekuwa akitoa ujumbe mzito akiitaka jamii kuacha na kupinga mauaji huku akisisitiza upendo kwa ndugu zetu mwenye ulemavu wa ngozi (Albinos) kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram.
Siku ya jana Riyama alibandika picha hiyo hapo juu akiwa na mwanamziki Keisha ambae ni mlemavu wa ngozi na kuandika kuwa wapo kazini, kitu ambacho mashabiki wake wengi walijiongeza kuwa Riyama na Keisha watakuwa Lokeshani wakitengeneza...
10 years ago
GPLT.F.S.C KUANDAA BONANZA KULAANI, KUPINGA MAUAJI YA ALBINO
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Sycf-NXWY2Q/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ